Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc Janjaro......Asilimia kubwa za vifo vya sisi wanaume vinasababishwa na wanawake au wapenzi tulio nao!
Tunawapitisha watoto katika mazingira magumu hii picha sijui mtoto ataielewaje na ataichukuliajeSijui ataangaliwaje huko msibani, kwa kiasi flani ndiku alipata sana stress baada ya Irene kufunga ndoa.
Mapenzi haya, tujitahidi tupende kwa kipimo unakufa unamuacha mwenzio anastarehe.
Hahahah.chalii ya chugaCc Janjaro......
Vifo vingi hutokea usiku usingiziniAliyekuwa mume wa zamani wa Irene Uwoya ,Hamad Ndikumana Kataut ambaye pia alikuwa kocha msaidizi wa Rayon Sports amekutwa amefariki dunia ingawaje mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijawekwa bayana kwa kuwa hata jana alishiriki vizuri mazoezi na alikuwa bukheri wa afya.
Mwili wake kwa sasa umehifadhiwa mochwari ya Rwampala huku taratibu nyingine za mazishi zikiendelea kufanyika
View attachment 631101
Unayajua ya moyoni?!Mbona alikua ashapata mwanamke mwingine na wanajirusha insta
Acha kuhukumu, ndikumana alipoacha na uwoya alikuwa na anaishi na mwanamke mwingine mpaka mauti yamemkutaJamani,itakuwa aliumia sana mkewe kuolewa tena.Dah imeniuma sana Rip ndikumana,Rip Ivan Semwanga.Mapenzi ni hatari sana kwa afya hasa ukiowa mwanamke asiejielewa na mbinafsi.
Hatari sana.....Hahahah.chalii ya chuga
Tunawachoraga tu[emoji23][emoji23][emoji23]Wanaosema Rwanda kuna wanawake wakali (watamu) kuliko Bongo, wajitafakari upya!
wameurudisha ila niliweka wakautoa .Mbona uzi wako upo haujafuta shost nimeuona upo