Mkuu...unakumbuka nin primary in connection with our late president mzee jumbe?Hiki kitabu the partnership kinapatikana wapi Mkuu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu...unakumbuka nin primary in connection with our late president mzee jumbe?Hiki kitabu the partnership kinapatikana wapi Mkuu??
Rest in pease.
Kwa tamaa za mwili kivipi Mkuu?Kama binadamu na yeye kuna mambo ya kishenzi aliyowafanyia wengine kwa sababu ya tamaa za mwili
Kwani Magufuli yeye ni MUNGU?Naona hili swala ni sensitive Mohamed Said,anachungulia tu na kupita maana hapa Magufuli anaweza kumpoteza mtu
Salmar..Hiyo miaka umenipangia wewe ukute ww ni mtoto wangu wa tano na huyo unaemtaja ameshaacha kazi serkalini muda mrefu sana mustafa jumbe anaitwa kama humjui nimekupa na jina
Unamiaka mingapi wewe???Muda wote mlikuwa wapi kuongelea hiko "kifungo"? Leo ndo mmeona muda muafaka?
Mkuu pole sana....Mungu amlaze mahali pem peponi...sitasahau siku ile dodoma na tukiwa njian kurudi dsm..
Jumbe ni msomi...hakukurupuka kuandika wosia kama huo na hali akijua kuwa aliwahi kuwa rais wa nchi.........Alipo apa kuwa Rais/Makamu wa Rais alipoteza haki hizo zote. Haki hizo kwa sasa ni za Taifa, na taifa litaamua kama alivyojikabidhi kwa taifa kipindi anaapishwa.Full stop.
KituloSeif Sharif Hamad alifundishwa na Abood Jumbe Mwinyi elimu ya sekondari katika sekondari ya King George VI ambayo leo inaitwa Lumumba iliyopo mjini Zanzibar, Jumbe ni mmoja ya wasomi wa mwanzo wa Zanzibar alikuwa na shahada ya chuo kikuu cha Makerere, Jumbe alimteua Seif kuwa waziri wa elimu ,baadaye akamteua kuwa waziri kiongozi wa Zanzibar.
Seif aliiba nyaraka muhimu kuhusu serikali tatu alizokuwa ameandaa Mzee Jumbe kupitia mwanasheria mkuu wa Zanzibar ,Seif akazipeleka kwa Nyerere ndio ukawa mwisho wa Mzee Jumbe kuwa rais wa Zanzibar na alifukuzwa urais wa Zanzibar 1984.
Seif alimsaliti Mzee Jumbe ambaye alikuwa anataka muungano wa serikali tatu.
Pumzika kwa amani Mwalimu Mzee Abood Jumbe Mwinyi.
DingswayoR.I.P. Aboud Jumbe!
Nadhani kabaki mmoja tu..mzee wetu hassan nassoro moyo kwa kumbukumbu zangu
Hivi ile Top layer ya wanamapinduzi wa kweli ya 1964 bado ipo? Huyu mzee si ndiye alikuwa amebaki pekee? Nikumbusheni wadau.
Watu wanaleta mzaha sanaMambo mengine yanashangaza kidogo - Si aliondolewa madarakani unceremonously, kawekwa kizuizini na kupoteza haki zake zote kama kiongozi wa Taifa, hivi inaingia akili kweli kwamba mnataka haki zake za Kitaifa zirudishwe akiwa marehemu! Mi nafikiri unataka kuleta utani kwenye majonzi ni kheri ungekaa kimya watu wangekuelewa kuliko kuwa so insensetive!!!
Hujasoma wosia wake hakutaka kuzikwa kiserikaliKosa alilofanya akala kifungo cha maisha ndio kimeisha sasa yupo huru so anahaki ya kizikwa kitaifa na hali zake alizoitumikia nchi anastahili apate.. So kama sifa apewe na kama makosa yaachwe keshatumikia kifungo chake chote.... Sawa sawa Njile na kiteta...
Hiyo itadhihirisha unafiki wa chama na serikali..hskuwahi kupewa heshima hyo ya kualikwa kwenye dhima au jambo lolote la kitaifa tangu 1984...leo hii watoe muda wa kitaifa kwa maombolezo ya kifo chake...Huyu ni mtu mkubwa sana,
R.I.P Jumbe
Kuwepo na mapumziko "Wiki" maana alipotezewa sana
Mkuu dangadunguri..Aliyemfunga Jumbe kule mjimwema alikuja kumalizwa na 'mwanawe' aliyemtegemea kwa kumsimamia 'apite'. alimfyeka kama majani pamoja na kuwa mgumu kama 'ndago'
Rais wangu mstaafu jk..ndyoo kidogo alikuwa muungwana nimeona mara kadhaa akivuka kigamboni kwenda kumsalimia mzee aboud jumbeHaswaa huko kwa asiye na upendeleo.
Ndyoo.mkuuAlikuawa jaji??
Ndyoo unafiki huo huo tunaousemaTaarifa ya habari TBC taifa wanamwiita Rais mstaafu.. Sijui kustaafu kwake kulikuwaje
Makao makuu ya chama dodoma...Kangaroo Court!!
Mungu alimjalia miaka mingi huyu mzee..amekufa na miaka 96 bado mianne tu angeishi karne mojaBila shaka itakua alifikisha miaka mia,zaman sana nilsikia alikua na miaka 80
Ameeleza kwenye vitabu vyake.....inakupasa kutumia akili sana na utulivu kumuelewa hajaeleza direct...mi mbona sielewi hicho kifungo? cha nyumbani ki vipi? Mwaka 2002 aliwahi kuja Geita kulikuwa na kongamano la kiislamu kwa muda wa siku mbili. Halafu kuna wakati alikuwa akivuka siku za Ijumaa kwenda kusali huko mjini.