TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

Hiyo miaka umenipangia wewe ukute ww ni mtoto wangu wa tano na huyo unaemtaja ameshaacha kazi serkalini muda mrefu sana mustafa jumbe anaitwa kama humjui nimekupa na jina
Salmar..
Achana na huyu mtoto mdogo kazaliwa juzi juzi
Lakini licha ya ivo mzee jumbe mwenyewe kakiri kwenye kitabu chake what he has been through since 1984...

Sisi tulokuwa karibu tukimfatilia mzee wetu tunajua uchungu wa wa shubiri alikuwa akipewa
 
Muda wote mlikuwa wapi kuongelea hiko "kifungo"? Leo ndo mmeona muda muafaka?
Unamiaka mingapi wewe???
Kifungo cha jumbe kinajulikana tangu siku ya kwanza kaanza kutumikia watu wanaandika sasa yapata miaka 30 na kitu...wewe unasema kimeanza julikana leo...
Watoto muwe na adabu sana mnapo kuwa kwenye minakasha kama hii..hata kama hatukuoni kwa sura
 
Alipo apa kuwa Rais/Makamu wa Rais alipoteza haki hizo zote. Haki hizo kwa sasa ni za Taifa, na taifa litaamua kama alivyojikabidhi kwa taifa kipindi anaapishwa.Full stop.
Jumbe ni msomi...hakukurupuka kuandika wosia kama huo na hali akijua kuwa aliwahi kuwa rais wa nchi.........
Alipovuliwa vyeo kwa nguvu kule dodoma..hujui kwama ina invalidate kiapo akichowahi kuapa?
 
Seif Sharif Hamad alifundishwa na Abood Jumbe Mwinyi elimu ya sekondari katika sekondari ya King George VI ambayo leo inaitwa Lumumba iliyopo mjini Zanzibar, Jumbe ni mmoja ya wasomi wa mwanzo wa Zanzibar alikuwa na shahada ya chuo kikuu cha Makerere, Jumbe alimteua Seif kuwa waziri wa elimu ,baadaye akamteua kuwa waziri kiongozi wa Zanzibar.
Seif aliiba nyaraka muhimu kuhusu serikali tatu alizokuwa ameandaa Mzee Jumbe kupitia mwanasheria mkuu wa Zanzibar ,Seif akazipeleka kwa Nyerere ndio ukawa mwisho wa Mzee Jumbe kuwa rais wa Zanzibar na alifukuzwa urais wa Zanzibar 1984.
Seif alimsaliti Mzee Jumbe ambaye alikuwa anataka muungano wa serikali tatu.

Pumzika kwa amani Mwalimu Mzee Abood Jumbe Mwinyi.
Kitulo
Nakubaliana na wewe katika hoja zako kuwa jumbe ni moja wa wasomi wa kwanza kutoka makerere na kuwa alikuwa mwal wa seif malim hilo halina ubishi.......

Ila nikuambie kitu kimoja..jumbe alikuwa na agenda ya marekebisho ya muungano ambao wasiopenda walitwisha jina kuwa ni kuvunja muungano..
Jumbe alikuwa na vikao vingi vya siri vya ndani na viingozi waandamizi wa zanzbar kuelekea mkutano mkuu wa chama dodoma..si malim seif peke ake..

Kilichotokea baada ya seif kuwa anakubalika zanzbar mahasimu wake wakaona ili kufanya achukiwe na wananchi basi ni kumuhusisha na usaliti kwa jumbe ambae ni muumin wa serikali tatu na mamlaka kamili ya zanzibar

Propaganda hizi ndo zile zile zilizotumika kumchafua ahmed salim..komandoo mahfoudh na wengne wengi
 
Mambo mengine yanashangaza kidogo - Si aliondolewa madarakani unceremonously, kawekwa kizuizini na kupoteza haki zake zote kama kiongozi wa Taifa, hivi inaingia akili kweli kwamba mnataka haki zake za Kitaifa zirudishwe akiwa marehemu! Mi nafikiri unataka kuleta utani kwenye majonzi ni kheri ungekaa kimya watu wangekuelewa kuliko kuwa so insensetive!!!
Watu wanaleta mzaha sana
 
Kosa alilofanya akala kifungo cha maisha ndio kimeisha sasa yupo huru so anahaki ya kizikwa kitaifa na hali zake alizoitumikia nchi anastahili apate.. So kama sifa apewe na kama makosa yaachwe keshatumikia kifungo chake chote.... Sawa sawa Njile na kiteta...
Hujasoma wosia wake hakutaka kuzikwa kiserikali
 
Huyu ni mtu mkubwa sana,
R.I.P Jumbe
Kuwepo na mapumziko "Wiki" maana alipotezewa sana
Hiyo itadhihirisha unafiki wa chama na serikali..hskuwahi kupewa heshima hyo ya kualikwa kwenye dhima au jambo lolote la kitaifa tangu 1984...leo hii watoe muda wa kitaifa kwa maombolezo ya kifo chake...
 
Aliyemfunga Jumbe kule mjimwema alikuja kumalizwa na 'mwanawe' aliyemtegemea kwa kumsimamia 'apite'. alimfyeka kama majani pamoja na kuwa mgumu kama 'ndago'
Mkuu dangadunguri..
Sijakuelewa apo naomba unipe shule kidogo
 
mi mbona sielewi hicho kifungo? cha nyumbani ki vipi? Mwaka 2002 aliwahi kuja Geita kulikuwa na kongamano la kiislamu kwa muda wa siku mbili. Halafu kuna wakati alikuwa akivuka siku za Ijumaa kwenda kusali huko mjini.
Ameeleza kwenye vitabu vyake.....inakupasa kutumia akili sana na utulivu kumuelewa hajaeleza direct...
Sisi wengne tunajua na tulielezwa dhahiri
 
Back
Top Bottom