TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia


Swala si uwezo wa Matibabu!
Yeyote mwenye mgogoro wa Afya , janga hili halimuachi salama!
 
kama huyo jamaa amenyosha goti basi yule jamaa yake kichwa maji hawezi kupona hata ajifiche wapi au ajifukize vipi.

Sent from my SM-G975F using Tapatalk
 
Kwani umelazimishwa kutoka kwako wewe si jilock down mwenyewe asee
Sasa mbona huyo magufuli wenu amejilokdown huko chato halafu anawaambia wananchi waendelee kujichanganya kuchapa kazi? Huyu so anataka kutuua huyu kiongozi gani sasa huyu.
 
nenda mahiga

ulishindwa kumshauri jiwe
Unajua hawa Wa kubwa linapokuja swala la kulinda RAIA wao hujitoa akili kuwa hawataguzwa Mimi siyo nabii lakini kwa hii hali niliyoiona masokoni kuhusu mkusanyiko hata kama serikali itaficha sana taarifa kweli kipindi hiki tutazikana sana hii tabia yakuogopa njaa kuliko maradhi ni upofu Wa hali ya juu kabisa.

Bora uchumi uporomoke ila RAIA tupone nimempoteza dada yangu na Rafiki zangu wawili huu ukimya ni Wa kishetani siyo wakimungu corana. Ni pandemic siyo tatizo LA kuchekwa bora kila kitu kiwekwe wazi tupate wakutusaidia hata chaina ilisaidiwa hata italy imesaidiwa je sis I masikini tunaogopa mini?
 
What a Roving Journalist!
....kazaliwa mwaka 1945 atatimiza miaka 70 mwezi wa nane 2020!
Inawezekana ni chapchap ya kukimnilia kuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa.
 
Dah alikuwa mtu poa sana yan hana majivuno wala kejeli kama mawazir weng na wabunge wa ccm walivyo nakumbuka hata mh sugu alimtabiria kama kungekua na tume huru ya uchaguz ni mmoja wa wabunge wa ccm ambao wangerejea bungeni....... RIP... bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...wote ni njia yetu.....see you again baloz Mahiga

Its not over until its over...[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…