TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

Lakini posho wamwachie nani? Ndugai anapoona wenzake wanakufa anafkiri posho zao zinaenda kwa waliobaki......IT IS ALL ABOUT POSHO.
Wnajadili bajeti ambayo ni very irerevant compared to the current situation.
Basi wawapime wabunge wote,,sio kuwapima joto,wapimwe,wenye vimelea waanze dose na watengwe
 
Basi wawapime wabunge wote,,sio kuwapima joto,wapimwe,wenye vimelea waanze dose na watengwe
Amna acha waendelee kwanza....Huu ushauri wameutoa wabunge wa upinzani km mara nne lkn ndugai anasikiliza kwanza jiwe kasemaje asipomruhusu hawezi kufanya chochote.....

TUNDU LISSU ANGETUVUSHA VIZURI SANA WKT KM HUU
 
REST IN PEACE.SIO KILA KIFO NI CORONA ,UKICHEKI UMRI NAO NI FACTOR NA PIA KWA UMRI HUO MAGONJWA NYEMELEZI NI MENGI KWA KWAKUWA KINGA IPO CHINI.
Basi nenda ukaage mwili mwili wake na uuguse tuone kama utaendelea kuandika humu tena.
 
Kweli vijana pia tunakufa, na sikua na lengo la kumaanisha kua vijana hawafi ila nawaza tu busara tutapata wapi wakati wazee wote wenye hekima zao wanaondoka, Kwikima, Augostino, Mahiga......
Busara ni zao la ufahamu.
Wazee wenye ufahamu wenye kaliba ya mzee wa chato ni hasara.
 
RIP kiongozi Maiga R.I.P kiongozi Maiga
 
Yaani RIP waziri.Poleni familia.Nawaza kuna mahali nilituma ushauri kuwa raisi angezuia mukusanyiko isiyo ya lazima kama kanisani na misikitini ile pasaka ndio outbreak imeanza.Sasa let us swallow our pride now
Saa hizi Hawa asymptomatic ndo wanaeneza kimya kimya,yaani mwizi anafukuzwa kimya kimya ....
 
[Sasa mbona huyo magufuli wenu amejilokdown huko chato halafu anawaambia wananchi waendelee kujichanganya kuchapa kazi? Huyu so anataka kutuua huyu kiongozi gani sasa huyu]

Ji-lockdown wewe mwenyewe na wapendwa wako. Huu ni wakati wa Yarabi nafsi...
 
Nimeshajua kwa nini kamanda kajificha chocho kumbe amenusa harufu mbaya ya panya aliyeoza magogoni! Duh, hewa imechafuka jamani. Sasa kamanda mbona ananguruma wakati yuko chobingo, yaani yeye anashuhudia tu jumba bovu linavyowaporomokea wenzie. Ila hiyo harufu haishi leo kwa jinsi tunavyokwenda, ajue hiyo.
 
Rip jasusi bobevu
TISS nguli
Poleni kitengo
Msiba eagle wing
Wasiojulikana wanakabwa koo na anaejulikana πŸ˜€ patamu hapoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ŠπŸ˜Š
 
R.I.P Baba .Imeniuma sana.Magufuli anawatoa wenzake kafara kwa Covid 19. YEYE KATULIA CHATO. Dr Mchembe nakulaumu sana kwa nini ulimshauri Rais aende Chato ?Angebaki Dodoma akajua jinsi" kaugonjwa kadogo " Kangemplekesha.
 
Kwa kweli hali inatisha. Poleni sana Wanafamilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…