seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,655
Mkuu, Kwa mara ya kwanza sijaona comment mbovu juu yake iwe Facebook, Tweeter au hapa JF, Sio kitu cha kawaida.Unategemea BBC wasome mabaya. Mungu amlaze mahali pema peponi
Kuna kubwa la kujifunza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, Kwa mara ya kwanza sijaona comment mbovu juu yake iwe Facebook, Tweeter au hapa JF, Sio kitu cha kawaida.Unategemea BBC wasome mabaya. Mungu amlaze mahali pema peponi
And you
Wajameni haka ka boy kamekukosea nn hadi ukawazie kudedi soon?Next is KondaBoy
Dah had kimKweli kabisa hadi Raisi wa korea(KIDUKU kaamuwa ku tweetView attachment 1436970
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah inaonesha jins gan ambavo hakuwa mtu wa makando kandoMkuu, Kwa mara ya kwanza sijaona comment mbovu juu yake iwe Facebook, Tweeter au hapa JF, Sio kitu cha kawaida
Kuna kubwa la kujifunza
Vitu vingine hawa graduate wa IFM na UD wa sasa hawaviwezi mkuu acha wenye Weledi wao wavifanyaHivi najiuliza mtu miaka 75 ni waziri kweli hivi hakuna vijana Raisi wakusaidie. Jamani mimi nikifika hata 62 usinipe cheo kwanza natamani nipumzike Nile pension yangu jamani.Huyu balozi kazaliwa 1945 kweli kweli bado ni waziri duuuuuuu
Dah hii picha mkuu sidhan kama ni sahihi kuwa apa maana mtu anaweza jiuliza huyo ni mtoto wake au mkewe?
Duh! Walivyokumbatiana nadhani ni mkewe! Mzee alipoint kitu cha uhakika! Mjane kama ndio huyo na anaona comment yangu nampa pole Sana! Pia namkaribisha in box!Dah hii picha mkuu sidhan kama ni sahihi kuwa apa maana mtu anaweza jiuliza huyo ni mtoto wake au mkewe?
Japo naona ni Mwanae ila what about the others?
Baraza lazima liwe na mchanganganyiko wa mawaziri wenye umri tofauti tofauti! Ukiweka vijana watupu ni sawa na gari inayotembea bila ya girisi, wazee ni girisi!Hivi najiuliza mtu miaka 75 ni waziri kweli hivi hakuna vijana Raisi wakusaidie. Jamani mimi nikifika hata 62 usinipe cheo kwanza natamani nipumzike Nile pension yangu jamani.Huyu balozi kazaliwa 1945 kweli kweli bado ni waziri duuuuuuu
Ni binti yake mkuu, akiona post kama hii atajisikia vibaya sanaDuh! Walivyokumbatiana nadhani ni mkewe! Mzee alipoint kitu cha uhakika! Mjane kama ndio huyo na anaona comment yangu nampa pole Sana! Pia namkaribisha in box!
Sent using Jamii Forums mobile app