TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

Hii corona naona imeingia Ikulu live mchana kweupe.
Ifike wakati viongozi wa Tanzania wajifunze kujiuzuru pale ushauri wao unapopuuzwa.

Waziri Mkuu na Waziri wa afya ilibidi wawe wamejiuzulu toka siku nyingi.

Sidhani kama msimamo wa Rais ndio msimamo wao, hawana namna sababu ya kulinda vibarua vyao.

Uhai ndio kila kitu hivyo vyeo mnakufa mnaviacha, kama kiongozi mkubwa hataki kufuata ushauri wa wataalamu ni kumwachia serikali aongoze peke yake.
Mbona jiwe haujamtaja na yeye hajiuzulu, hili ni boko lake hakwepeki au unajifanya haujui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIP Balozi Mahiga.Kama kifo hiki kimetokana na COVID-19 kuna watu watawajibika kujiuzulu.Taifa linaendelea kupoteza viongozi na kubakia na watawala katili. Tuchukue hatua,tuseme imetosha,vinginevyo bila lockdown tunaenda kuangamia sote.Sins uhakika watanusurika watu wangapi na ni kina nani hao?Sipati picha Tanzania baada ya COVID-19 itafananaje?
Pole ni waliofiwa wote tangu COVID-19 ianze.
Hii corona naona imeingia Ikulu live mchana kweupe.
Ifike wakati viongozi wa Tanzania wajifunze kujiuzuru pale ushauri wao unapopuuzwa.

Waziri Mkuu na Waziri wa afya ilibidi wawe wamejiuzulu toka siku nyingi.

Sidhani kama msimamo wa Rais ndio msimamo wao, hawana namna sababu ya kulinda vibarua vyao.

Uhai ndio kila kitu hivyo vyeo mnakufa mnaviacha, kama kiongozi mkubwa hataki kufuata ushauri wa wataalamu ni kumwachia serikali aongoze peke yake.
 
Ila hili gonjwa limekuja kukata mzizi wa fitina, hakuna mbwembwe kwenye maziko ya viongozi wakubwa! Unazikwa kama hohehahe fulani hivi!
 
Kiongozi mmojawapo niliyemkubali sana, bora angeondoka yule anayetoa macho akiongea.

R.I.P Augustine Mahiga

Au modds mnasemaje?
 
Mimi nataka wale ambao huwa tunawatukana kuwa ni mabeberu wacheleweshe kidogo kugundua chanjo!
Mkuu uwezekano wa chanjo mpaka September,Hadi ikawe mass produced,ongeza miezi 6 mbele,
Pia ujue SI rahisi kupata chanjo ya virus,
Nionavyo kufikia may 15,,tutakua tutaongea kwa kuelewana sana
 
Kiongozi mmojawapo niliyemkubali sana, bora angeondoka yule anayetoa macho akiongea.

R.I.P Augustine Mahiga

Au modds mnasemaje?
Hakuna cha bora angeondoka fulani, kila mtu na siku yake, don't pray for someone's death when you know your day is just "unknown"!
 
Waterloo! Ume-panic ndugu yangu, jitulize kidogo maana unakoelekea, utakufuru! Hili ni janga, limetukumba wote, tupo hatarini, lakini tuki-panic hatutajenga chochote! Can I repeat? Tujitulize, tutafakari, alafu tuchukue hatua staiki, hata kama ni comment hapa!
Mkuu kwani rais wetu nae anaelewa kuwa hili ni janga? Nakumbuka aliwaambia wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wakachape kazi
 
Au labda maombi yetu hayakukubaliwa?

Maombi ya nini tena msomi wetu,

Zile mbwe mbwe tu za wanasiasa.

Kama ni maombi wale jamaa wa upako sijui keki na upuuzi puuzi mwingi tu wa kuombea wenye pepo ,umewasikia hata kutia mguu pale mloganzila kuombea wagonjwa..?

Chukua tahadhari epuka mikusanyiko.
 
Back
Top Bottom