MBUTAIYO
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 699
- 416
RIP DR. Mahiga,
Ulikuwa humble sana, tutakukumbuka daima.
Kipindi hiki cha Bunge ulikuwa ndo wakati mzuri wa kuwa kitu kimoja kujadili mambo ya msingi kuhusu ugonjwa wa corona, lakini kwa bahati mbaya sana wabunge wa ccm wamefanya Bunge kuwa la mipasho kupasha ushauri mbalimbali mzuri unaotolewa na wabunge wa upinzani.
Ulikuwa humble sana, tutakukumbuka daima.
Kipindi hiki cha Bunge ulikuwa ndo wakati mzuri wa kuwa kitu kimoja kujadili mambo ya msingi kuhusu ugonjwa wa corona, lakini kwa bahati mbaya sana wabunge wa ccm wamefanya Bunge kuwa la mipasho kupasha ushauri mbalimbali mzuri unaotolewa na wabunge wa upinzani.