Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Popper's FalsificationismProve them wrong.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Popper's FalsificationismProve them wrong.
Karibu tuko chobingo mja tunakata kvnt [emoji23][emoji23][emoji23]Yaani mie nna pumu baba ana pumu na sukari .naogopa hata kupanda bus noende leo najihis chizi fresh kbs..! Eh Mungu nilindie jembe langu!ila mie sijihofii kbs...namhofia dingilai uwiii[emoji56][emoji56][emoji56]
‘...pamoja na umri wake mkubwa...’
mulemule.
Kwa kuhesabu ukianza na moja 1 kufika 60m ni takwa la kimahesabu.Watu 60M watakwisha?
Senti bai yuzingi tecno T301
Mwinyi ni mnafiki sana ndio maana alikula kelbu ya nguvu.Hakuna kifo kimeniuma kama cha mzee toka baba wa taifa afariki mzee ni wapili kwa kifo kutoka ccm kunigusa
Nawaombea tena Warioba, Butiku na Mzee mwinyi wawe salama popote walipo.
Ni kweli mkuu. Na pia tujaribu sana kuongeza kinga ya mwili kwa kula vyakula vyenye vitami c kwa wingi. Ili kuvielewa vizuri, we Google tu, taarifa hiyo hapoSa hivi kama uma mzee wako ana matatizo ya moyo au kisukari jitaidi kumlinda sana na pia asipate hata hizi tetesi au ukweli kuhusu corona mana zitamuondoa haraka.
Hawa jamaa akili zao za kijinga sanaBia yetu njoo huku!
Mpelekee uzi wako mzee Mahiga uone kama atakujibu
Uzuri sasa kazi tunaipata wote hakuna cha kwenda ulaya kutibiwa
Huu mwaka sio wa kutafuta pesa ni wa kutafuta uhai
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili itakaa sawa bado kitambo kidogo.
Ndiooooooooooooo.CCM ndiyo imeuleta ugonjwa huu?
Mtaelewa tu!Pole kwa wote waliofikwa na msiba huu.
hahahahaha ile katuni kiboko. walikuwa na mada kali eti wazee huko tuendako ni kula vichwa tu kwa kwenda mbelehebu weka picha yake hapa maana kuna korona mmoja mule alikuwa kageukia gari linapotoka kuhskikisha hawadondoshi mxigo wowote ulioko kwenye buti