TANZIA: Bi. Asha B. Makame afariki dunia

TANZIA: Bi. Asha B. Makame afariki dunia

View attachment 317991

Aliyewai kuwa Mwakilishi wa bunge maalum la katiba na Waziri wa wanawake na watoto Zanzibar na Makamu wa Jumuiya ya wanawake wa CCM ametangulia mbele ya haki huko Dubai baada ya kurejea matibabu yake huko India.

Mwenyeenzi Mungu amsamehe makosa yake na amlaze mahali pema. Amin
Asante kwa taarifa, lakini Kiswahili chako kibovu sana! "ametangulia mbele ya haki huko Dubai", hii nini maana yake! Aliyekwambia Mwenyezi Mungu anaishi Dubai nani? Unataka kusema Dubai ndiko mbele ya haki?? Najua umekosea, jifunze kunyoosha maelezo!
Ubarikiwe!
 
asha-bakari-makame-jpg.317990


Laana ya kusaliti maoni ya wananchi.
Namnukuu: na mimi namwambia jussa sasa zanzibarrrrr ni nchi ya kimapinduzi serikali ya kimapinduzi haitolewi kwa karatasiiiiii labda watupindue na uwezo huo hawana maana sisi ndio wenye mamlaka. CHUNGENI NDIMI ZENU
 
Duh hata akifufuka na aksoma haya maoni atomba arudi alikotoka maana duuh watu wanamaneno hatareee
 
Asante kwa taarifa, lakini Kiswahili chako kibovu sana! "ametangulia mbele ya haki huko Dubai", hii nini maana yake! Aliyekwambia Mwenyezi Mungu anaishi Dubai nani? Unataka kusema Dubai ndiko mbele ya haki?? Najua umekosea, jifunze kunyoosha maelezo!
Ubarikiwe!
Jf kwa vituko, duh
 
Daaa imekuwa haraka hata hajaona SEIF akiapishwa kuwa rais wa Zanzibar??????
 
Back
Top Bottom