TANZIA: Bi. Asha B. Makame afariki dunia

Asante kwa taarifa, lakini Kiswahili chako kibovu sana! "ametangulia mbele ya haki huko Dubai", hii nini maana yake! Aliyekwambia Mwenyezi Mungu anaishi Dubai nani? Unataka kusema Dubai ndiko mbele ya haki?? Najua umekosea, jifunze kunyoosha maelezo!
Ubarikiwe!
 
Duh hata akifufuka na aksoma haya maoni atomba arudi alikotoka maana duuh watu wanamaneno hatareee
 
Jf kwa vituko, duh
 
Daaa imekuwa haraka hata hajaona SEIF akiapishwa kuwa rais wa Zanzibar??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…