TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

Hakuna haja ya kugombana ndugu yangu
Kama unatetea ushoga mimi skuungi mkono.
Na niliyo ya sema mimi ni sayansi sijatunga, Elton John si sawa na Bilal Mashauzi,
Elton yule ni exception kwa sababu ana uwezo wa kujicare
akili kubwa hii""
 
Jaman binamu unaniua mbavu uwii , kwa hyo kaoge walimsusia jaman ? Sasa hao mashost wake nguvu za kubeba jeneza walitoa wapi , nilikua na majonzi umenifanya nicheke kama tahira
hahaaa ..mashoga walivyoa lainika ..lakini walipata nguvu ya kubeba jeneza..achilia majonzi waliyokuwa nayo ...daahh wonders shall never ends
 
Back
Top Bottom