Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Mtoto wake nae wanamla junaitha?ndo maana!!ila alikuwa anamlinda sana Omari ili asifukuliwe ila ndo hivyo tena akipata upenyo anafanya yake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wake nae wanamla junaitha?ndo maana!!ila alikuwa anamlinda sana Omari ili asifukuliwe ila ndo hivyo tena akipata upenyo anafanya yake!
Sana omari tenaa nae kafa vibaya jamani loojNdo sababu hata kijana wake alikua shoga.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] pole nani huyoo?Uzi huu umesababisha nitukanwe na mtu nisiyemjua,kisa kuchangia,sijui ni mmoja wao,,kaja PM na matusi makubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jike shupa ni Mwenyekiti wa ma-baby mama wa mastaa Tanzania. Amezaa na Juma Nature....
Young D alipomtelekeza Mamisa yeye alimchukua mwanachama chipukizi na kumtunza nyumbani kwake....tehteh
Nimefuta ujumbe mkuu na nimemsahau,,akijibu nita mscreenshot[emoji2] [emoji2] [emoji2] pole nani huyoo?
Mpuuzi huyo aje kunitukana Mimi!nasema ushoga ni laaana, laana,laaanaa!Nimefuta ujumbe mkuu na nimemsahau,,akijibu nita mscreenshot
Jike ameza n juma nature?Jike shupa ni Mwenyekiti wa ma-baby mama wa mastaa Tanzania. Amezaa na Juma Nature....
Young D alipomtelekeza Mamisa yeye alimchukua mwanachama chipukizi na kumtunza nyumbani kwake....tehteh
Mtoto ana miaka 10 sasa...Jike ameza n juma nature?
MakubwaaaMtoto ana miaka 10 sasa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo unatuvuruga binamu
Mhhhhh.Jamani kifo hiki, juzi tu nilikua nachat nae jamani alikuwa anataka kuja South Africa. Uwii Warumi sina nguvu nimeishiwa.
View attachment 770348
Rest In Peace best wangu!
Mhhhhh.
Hongera
Kila siku nilikuwa najiuliza wewe ni me au ke,sijawahi pata jibu ila kama huyu ndio alikuwa rafiki yako basi nishapata jibu.Jamani kifo hiki, juzi tu nilikua nachat nae jamani alikuwa anataka kuja South Africa. Uwii Warumi sina nguvu nimeishiwa.
View attachment 770348
Rest In Peace best wangu!
Punga maarufu hiloNdio nani huyu?
Huyu jamaa toka longtime anatumbalika ni boflo...WARUMI mbona unatetea sana mashoga?
Bila shaka na wewe ni walewale
ShemejiKheee
R.i.p Billal mashauzi
Nakupendea hapo tu, makavu live basiMi urafiki wa karibu na mashoga hapana. Sio mwanangu anakua anakutana na marafiki wa mama hawaeleweki jinsia