Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Inabidi wakubali matakwa ya mtejaHawavai condom kwani hv kaoge vp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi wakubali matakwa ya mtejaHawavai condom kwani hv kaoge vp
hahaaaa warumi sio mzima ujue daahh """..@Warumi usiwe unakaa Kimya kiasi hicho aisee...tumekuzoea
Three some ndio zao.....wachafu ajabu....Kuna mashoga wa aina tatu. Ya kwanza ni 'top' hawa wao ni wanaume wanaowakula wanaume wenzao. Wa pili ni 'bottom' hawa ni wanaume wanaogeuzwa kuwa wanawake na kuingiliwa kimwili na wanaume wenzao. Wa tatu ni 'both' hawa wako kote kote, wanakula na kuliwa na wanaume wenzao kutegemeana na timing, kuna wakati wanaingiliwa na kuna wakati wanawaingilia wenzao kimwili.
binamu nashukuru "" ujio wako utanifnya niwe sikosi kutembelea hili jukwaa aiseeMimi pia nimewazoea, nimerudi binamu
Chezea ushogaaIla watu mnapenda hayo mambo , thread inakaribia ku hit 1K toka Jana , au ni Mimi mlinimisi au ndo mnapenda habar za mashoga maana na nyie mashabiki hamueleweki
Mwandiko wake kama KE
ndio ""Ndo sababu hata kijana wake alikua shoga.
binamu bwanaSasa jinsia yangu wananilazimisha , watu bhana
Aisee Uzi wako unatembea kweli ,,nimejua kumbe kuna watu wengi wanapenda haya mambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo unatuvuruga binamu
ila alikuwa anamlinda sana Omari ili asifukuliwe ila ndo hivyo tena akipata upenyo anafanya yake!Ndo sababu hata kijana wake alikua shoga.
Jike shupa ni Mwenyekiti wa ma-baby mama wa mastaa Tanzania. Amezaa na Juma Nature....Yaan halaf mi nilivyomuona tu nikaona ni mgonjwa yule na kweli akaanza kongoroka shoga ake jike shupa,hivi jike shupa ana watoto?