TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

Nakumbukaga enzi hizooo balaa!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha tuu kwa sintah napamiss kuna yule dada alichambwaga akienda ofisini anavaa minguo ya rangi ianwaka sana inawaumiza macho wafanyakazi mwenzie ,nae si akaja kuwachambaa hahahahaha
Nawe pia ulitukanwa kule kule eti
Mimi muuza samaki,wewe mwalimu umepauka chaki jamani
 
Acha tuu kwa sintah napamiss kuna yule dada alichambwaga akienda ofisini anavaa minguo ya rangi ianwaka sana inawaumiza macho wafanyakazi mwenzie ,nae si akaja kuwachambaa hahahahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu unakumbukaga tulivyokua tunachambwaga kwa sintah kisaaa tunamponda mange enzi zile weee tulikua tunapakwa jamani sinaga hamuu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu unakumbukaga tulivyokua tunachambwaga kwa sintah kisaaa tunamponda mange enzi zile weee tulikua tunapakwa jamani sinaga hamuu
Yaan team mange walikuwa wanatuchamba wakiongozwa na lara,halaf miss strong jamani kapotea kabisa,brenda18 ichana,tatina ,kim nana,paula kilaki jamani vaslay
Ulikuwa ukitaka ubuyu ni celebrities forum,misutano huku siku hizi ni chit chat
 
Wadangaji maarufu kama madame Wema wanapendaga kufuga mashoga halafu wanawauza wanakula cha udalali
nasikia kwa Wema ni tofauti wale ndo wafanyakazi wake wa ndani kupika,kuosha vyombo,nyumba ndo maana jumba lake chaaaafu na kumfulia.
 
Yaan team mange walikuwa wanatuchamba wakiongozwa na lara,halaf miss strong jamani kapotea kabisa,brenda18 ichana,tatina ,kim nana,paula kilaki jamani vaslay
Ulikuwa ukitaka ubuyu ni celebrities forum,misutano huku siku hizi ni chit chat
Achaa tu looh!tunachambwa na kina koku kule kwa Mange na Sintah...
Miss strong,Ladykims,mrembo by nature kabadili I'd sa hivi,queen of Sheba sijui hata wapogo wapii!!!
 
Lakini Elton hana multiple partners. Na yule anajitunza sana kuliko maelezo. Hafanyii hiyo kitu ili aweze lipia chumba alichopanga au apate kula. So labda niseme tu hizo ni exceptional cases. Ni tofauti kabisa na hawa wa kwetu wadangaji ni lazima ajitume sana ndio mkono uende kinywani. So who do you think is prone to diseases??
Real talk
 
Ila Bilali ulale unapostahiki nilishakuona zaidi ya mara moja unawafunda mashoga wapya laanakum wewe nao waje wajilize msibani kwako sasa kama wewe ulivyojiliza kwenye msiba wa kungwi wako Shenaz.
 
Back
Top Bottom