Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona ulikua unanitongoza inbox, au kwa kuwa nimekukataa, tatizo huna pesa binamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona ulikua unanitongoza inbox, au kwa kuwa nimekukataa, tatizo huna pesa binamu
Kuna mmoja alikufa haraka haraka juz kati shoga maarufu bongo nimemsahau jinaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] katika ubora wakeeUkikataliwa kuwa mpole, tatizo sidangagi kwa watoto kama nyie, pesa huna binamu , Utakula kwa macho, mxieww ebu nipishe
KeshamjibuAkikujibu unitag
Acha tuu kwa sintah napamiss kuna yule dada alichambwaga akienda ofisini anavaa minguo ya rangi ianwaka sana inawaumiza macho wafanyakazi mwenzie ,nae si akaja kuwachambaa hahahahahaNakumbukaga enzi hizooo balaa!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijui vizuri kaka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu unakumbukaga tulivyokua tunachambwaga kwa sintah kisaaa tunamponda mange enzi zile weee tulikua tunapakwa jamani sinaga hamuuAcha tuu kwa sintah napamiss kuna yule dada alichambwaga akienda ofisini anavaa minguo ya rangi ianwaka sana inawaumiza macho wafanyakazi mwenzie ,nae si akaja kuwachambaa hahahahaha
Yaan team mange walikuwa wanatuchamba wakiongozwa na lara,halaf miss strong jamani kapotea kabisa,brenda18 ichana,tatina ,kim nana,paula kilaki jamani vaslay[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu unakumbukaga tulivyokua tunachambwaga kwa sintah kisaaa tunamponda mange enzi zile weee tulikua tunapakwa jamani sinaga hamuu
nasikia kwa Wema ni tofauti wale ndo wafanyakazi wake wa ndani kupika,kuosha vyombo,nyumba ndo maana jumba lake chaaaafu na kumfulia.Wadangaji maarufu kama madame Wema wanapendaga kufuga mashoga halafu wanawauza wanakula cha udalali
Achaa tu looh!tunachambwa na kina koku kule kwa Mange na Sintah...Yaan team mange walikuwa wanatuchamba wakiongozwa na lara,halaf miss strong jamani kapotea kabisa,brenda18 ichana,tatina ,kim nana,paula kilaki jamani vaslay
Ulikuwa ukitaka ubuyu ni celebrities forum,misutano huku siku hizi ni chit chat
Aiseeh!nisivyowapenda miye waleenasikia kwa Wema ni tofauti wale ndo wafanyakazi wake wa ndani kupika,kuosha vyombo,nyumba ndo maana jumba lake chaaaafu na kumfulia.
Real talkLakini Elton hana multiple partners. Na yule anajitunza sana kuliko maelezo. Hafanyii hiyo kitu ili aweze lipia chumba alichopanga au apate kula. So labda niseme tu hizo ni exceptional cases. Ni tofauti kabisa na hawa wa kwetu wadangaji ni lazima ajitume sana ndio mkono uende kinywani. So who do you think is prone to diseases??
wadada wa mjini wabawapenda maana wakiingia nao sehemu lazma nyote mshangae na ndo furaha yao hiyoAiseeh!nisivyowapenda miye walee
Hapa wanaponda wakitoka brake kwao, mfyuuu!! Waupinge hadharani na mafichoni pia.Najiuliza pia hivyo
Mashoga wanakosea kulala na wanaume halaf wanawaficha wangekuwa wanawaumbuaaHapa wanaponda wakitoka brake kwao, mfyuuu!! Waupinge hadharani na mafichoni pia.
Kweli kabisa, hivi wanavyowasema vibaya wakati wao ndio wamewaharibu wanawachekea tu!! Wawatajage tu hadharani.Mashoga wanakosea kulala na wanaume halaf wanawaficha wangekuwa wanawaumbuaa
Ili aibu wapate woteeKweli kabisa, hivi wanavyowasema vibaya wakati wao ndio wamewaharibu wanawachekea tu!! Wawatajage tu hadharani.
Haha hua siko mwepesi kureact etiNilikuwa nakuchokoza nione reaction yako.
Nisamehe tu...
That was one classy response from a classy woman.