Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
Rest in internal peace, Return if possible Buda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaogopa kwa kuwa bado haujafikia hali hiyo, ukiwa uko katika hali ambayo kifo hakikwepeki unakuwa calm ajabu. Hivi huyu boss alikuwa mstahafu au?Nani asiyeogopa kifo, labda yale mazombi ya kujilipua, duh! Hilo kunyooshewa hicho kidude yaani noma, pole sana maana sipati picha, nimezoea kwenye movie.
Yes.. Numbers don't lieHe was the greatest CEO in EAC of his time. RIP Bob Collymer
Poleni jirani RIP CEODuh! RIP
Akili kubwa kama kizi kutuondokea hivi hivi....
Mungu Katoa Mungu Katwaa...amina.
Nina dawa za kukufanya uishi miaka 206.Aya kama hizi huogofya, nifanyeje nisionje mauti...
Unaogopa kwa kuwa bado haujafikia hali hiyo, ukiwa uko katika hali ambayo kifo hakikwepeki unakuwa calm ajabu. Hivi huyu boss alikuwa mstahafu au?
Ni cancer ya nini alikuwa anaumwaNa vile nilimtazama pale Jeff Koinange Live akicheka cheka na akihave a good time na nilidhani kweli amepona duh kweli hii dunia tunapita tu. Mungu ailaze roho yake pema peponi.
Money is not everything.... Cannot buy lifeBREAKING: Safaricom CEO Bob Collymore confirmed dead.
SAFARICOM CEO Bob Collymore dies of cancer at his home in Nairobi; chairman Nicholas Nganga says his condition worsened in recent weeks.View attachment 1143355
Aya kama hizi huogofya, nifanyeje nisionje mauti...
Ya Damu.Ni cancer ya nini alikuwa anaumwa
Duh! Haya maradhi ya ajabu sijui huwa yanatoka wapi. Chronic leukemia.Ugonjwa mbaya sana huuLeukemia 😭😭😭😭