Gamal Sankara
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 301
- 265
Alikuwa mkenya na pia alioa mkenya na pia hakuzikwa he was cremated.Alishakuwa mkenya kabisa ama ataenda kuzikwa kwao Guyana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mkenya na pia alioa mkenya na pia hakuzikwa he was cremated.Alishakuwa mkenya kabisa ama ataenda kuzikwa kwao Guyana?
Aliamua hivi enzi za uhai wake?Alikuwa mkenya na pia alioa mkenya na pia hakuzikwa he was cremated.
Hapo sasa sijui lakini nimesoma daily nation na inakaa kama alitaka awe cremated masaa yake yakifika.Aliamua hivi enzi za uhai wake?
Sijapenda hii kitu kabisaaaa
Alikuwa na miaka mingapi?Hapo sasa sijui lakini nimesoma daily nation na inakaa kama alitaka awe cremated masaa yake yakifika.
Wacha nikuulize mbona hupendi cremation?
Kifo hakiepukiki ila kuna dawa inayosababisha mja kuishi maisha marefu duniani.Too sad aisee! Kifo hakina huruma.
Mnaotaka dawa msiwahi kufa PM me medicine ni bure 😂😂😂😂
It's bad, and i can't imagine the sight of a burning person hata kama wanasema anakuwa kawekwa ndani.Hapo sasa sijui lakini nimesoma daily nation na inakaa kama alitaka awe cremated masaa yake yakifika.
Wacha nikuulize mbona hupendi cremation?
Hiyo dawa niko nayo nitaanza kuifanyia promotion TBC 3😂😂Kifo hakiepukiki ila kuna dawa inayosababisha mja kuishi maisha marefu duniani.
Watafufuka tu maana kilichochomwa ni mwili sio nafsi , Messiah akirudi kitakachofufuliwa ni nafsi.It's bad, and i can't imagine the sight of a burning person hata kama wanasema anakuwa kawekwa ndani.
Vilevile Messiah akija hawa watu hawatafufuka they're gone milele
61 years of age.Aliku
Alikuwa na miaka mingapi?
Sawa lakini Messiah lazima kachukia haiwezekani binadamu wajao wakose natural gas, mchwa wakose chakula mafuta ardhini yakosekane kamkosea sana Mungu kujifanya hataki kuwa kwenye mlolongo wa food chain😂Watafufuka tu maana kilichochomwa ni mwili sio nafsi , Messiah akirudi kitakachofufuliwa ni nafsi.
Kama ni wahuni tu,Ilikua feki hiyo, muulize Hamorapa alipoiona yenyewe