TANZIA TANZIA: Daktari Bingwa Mishipa ya Fahamu na Ubongo Ronald William Hodge Afariki Dunia

TANZIA TANZIA: Daktari Bingwa Mishipa ya Fahamu na Ubongo Ronald William Hodge Afariki Dunia

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Mwendazake alihudumu akiwa Daktari Bingwa wa Mishipa ya Fahamu & Ubongo (Neurologist) Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando

FB_IMG_16239528516840618.jpg
 
Mwendo ameumaliza na sasa amelala usingizi wa mauti kusubiri marejeo ya Kristo aidha kufufuka ufufuo wa kwanza ule wa wenye haki au ule wa pili wa waovu. Bwana atusaidie kuzihesabu siku zetu tujipatie moyo wa hekima

Pole nyingi kwa familia na tasnia nzima ya utabibu
 
Unaseka na mavitabu usku kucha, kujituma, end of the day unakufa[emoji24][emoji24][emoji24] kifo kuwa na huruma Basi hii dunia hamna ambae atajua kuifaidi coz UNAWEZA ukatafuta alafu ukapata ukafa na kufa
 
Hapa JF kuna kaubaguzi fulani naanza kukaona kwa mbali, wengine wanawekewa
1623959979315.png
na wengine wanatangazwa kikavukavu kulikoni?
 
Back
Top Bottom