Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Chanzo cha kifo chake ni nini?
Mwenyezi Mungu awafariji wazazi na ndugu zake.
Mwenyezi Mungu awafariji wazazi na ndugu zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni huzuni sana
Lamba mbususu tani yakoKabisa, nawaza kwamba napigika kutafuta pesa alfu nafikia kipindi ambacho sasa naweza kufurahia matunda then Sijui nife duuh. Mie ngoja nile Bata nipige Mbususu tu maana Maisha yenye hayana guarantee ya kuiona kesho.
Na ndivyo inavyotakiwa hivyo [emoji848]Nikifikiria kuna kufa naona bora nitafute hela ya kula tu na pango kinachobakia nile burudani tu! Unaparangana kisha unadanja
Hahahah nakubali soul survivor mwenzanguNa ndivyo inavyotakiwa hivyo [emoji848]
Kujenga sijui kununua gari hicho ni kiherehere chako
Uchungu wa nini sasa hutaki kufa?Unawaza kama mimi Mkuu, kuna muda kabisa huwa nikiwaza sana naenda Bar nakunywa zangu Heiken then narudi nalala maana si uchungu nilionao.
Sijui unasave, mara natafuta mitaji mi nimepiga chini siku hizi...Hahahah nakubali soul survivor mwenzangu
Kwahiyo hamtaki kufa?[emoji16][emoji16][emoji1787]Ni huzuni sana
Eeh maisha mafupi aisee unachojinyima watu wanakuja lokota na kupika ubwabwa na nyama mingi inabaki story!Sijui unasave, mara natafuta mitaji mi nimepiga chini siku hizi...
Nakula tu bata[emoji16][emoji1787]
We unataka ufe kwan bestKwahiyo hamtaki kufa?[emoji16][emoji16][emoji1787]
Eti?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ukifikiria kufa dah huwezi kufanya lolote la maanaNikifikiria kuna kufa naona bora nitafute hela ya kula tu na pango kinachobakia nile burudani tu! Unaparangana kisha unadanja
Kweli yani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ukifikiria kufa dah huwezi kufanya lolote la maana
Mwe usiseme hivyo Jaman ingawa tunalijua hilo ilaNa sisi humu kufikia 2100 hatupo wote duniani.
Mkibisha mje apa kijiweni mnipige[emoji2221][emoji2221]
Eeh maisha mafupi aisee unachojinyima watu wanakuja lokota na kupika ubwabwa na nyama mingi inabaki story!
Uchungu wa nini sasa hutaki kufa?
Mpendwa wako wewe na nani? Kwa upande wangu huyu Neurologist alikua mtu muhimu sana kuliko huyo "mpendwa" wako!Mkuu hapa hadhi ya R.I.P uliotumia ya MWENDAZAKE ina kasoro ungetumia Marhemu tu, kwasababu hadhi hiyo sasa tumemtunuku mpendwa wetu Mtukufu jpm tu.