King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hili changa la macho[emoji16][emoji16][emoji56][emoji79]
Kwa Mujibu ya maandiko kama alivyosema Mzee wa Mizigo Sheikh Kipozeo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili changa la macho[emoji16][emoji16][emoji56][emoji79]
Mungu ana yake na kila mtu amempangia atakufa lini na wapi.Mwaka 1979 tulivorudi vitani toka Kagera rafiki yangu tulipigana naye kumtoa nduli tena tulikuwa frontline.Ajabu tumeponea chupuchupu kufa mara nyingi tu ajabu kaja Dar kakaa miezi mitatu katandikwa na malaria akafariki.simple like that kazi ya mungu haina makosaUnanikumbushia kuna askari alitoka vitani akafika nyumbani salama kabisaa. Kesho yake wanafanya maandalizi ya kutoa shukrani na sherehe hakufika asubuhi kaondoka usingizini
Dah! Na wenyewe wanakufa. R.I.P dokta.
Maisha haya tunapita aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa JF kuna kaubaguzi fulani naanza kukaona kwa mbali, wengine wanawekewa View attachment 1822081na wengine wanatangazwa kikavukavu kulikoni?
Pumbavu kabisa...tuondolee hekaya za Muhuni Ellen G WhiteMwendo ameumaliza na sasa amelala usingizi wa mauti kusubiri marejeo ya Kristo aidha kufufuka ufufuo wa kwanza ule wa wenye haki au ule wa pili wa waovu. Bwana atusaidie kuzihesabu siku zetu tujipatie moyo wa hekima
Pole nyingi kwa familia na tasnia nzima ya utabibu
Ndo Mungu huyo yaani ana maajabu yake sanaDah! Na wenyewe wanakufa. R.I.P dokta.
Maisha haya tunapita aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
amen, ubarikiwe mtumishiMwendo ameumaliza na sasa amelala usingizi wa mauti kusubiri marejeo ya Kristo aidha kufufuka ufufuo wa kwanza ule wa wenye haki au ule wa pili wa waovu. Bwana atusaidie kuzihesabu siku zetu tujipatie moyo wa hekima
Pole nyingi kwa familia na tasnia nzima ya utabibu
mambo ya vifo acheni kabisa aisee, acheniii, uuuwi!Mkewe nampa pole sana, inauma sana.Mwendazake alihudumu akiwa Daktari Bingwa wa Mishipa ya Fahamu & Ubongo (Neurologist) Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando
View attachment 1821993
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Itakuwa wew ni muislamu buda, maana mawaidha yenu uwa yanatishia amani ata uhai unauona hauna thamani tena
Heeheehee[emoji16][emoji16]Ukifikiria kifo bwana yaani unaweza usitafute kwa bidii.
Me kanuni yangu natumia kila kilichopo duniani kadiri ya uwezo wangu.
Kama kula nakula sana, natomba sana na nasali sana. Mungu mwenyewe atajua nikifa anisamehe vipi.
[emoji16][emoji16]R.I.P..Umauti nikiufkiria sana nakonda kabisa..