TANZIA TANZIA: Getrude Rwakatare, Mbunge na Mchungaji wa Kanisa la TAG (Mlima wa Moto - Mikocheni B) nchini Tanzania, afariki dunia

Pole kwa familia yake, Mungu alitoa na Mungu ametwaa jina lake libarikiwe
Tutakukumbuka kwa mengi mama yetu Lwakatre
 
R.I.P mama.
 
Nakupa tahadhari nyingine. Usikusanyike kwenye huu msiba maana waumini nyie mkishajazwa yule Roho huwa mnaamini miili yenu imegeuka malaika. Chukua tahadhari!
Sawa Mimi si muumini wake na sijawai kufika Dar. In short huyo ni mtu mkubwa tutaona mwili utakavyo agwa, ...kama wakimzika kimyakimya basi kongole kwa maelezo yako.
 
Hakuna hata muumini mmoja wa mlima wa moto amsemee sifa nzuri bishop lwakatare..pamoja na kumponda mama amefanya mengi mazuri na kuacha alama kubwa

Aliweza kuongoza kanisa, biashara na siasa kwa viwango vya juu kabisa tena kwa wakati mmoja..pia yeye ni mwanzilishi wa kwanza mtanzania wa shule za international schools hapa bongo..alikuwa mwanamke mwenye uthubutu na kiu ya mafanikio ..naamini pengo lake halizibika

Tulikupenda ila Mungu nakupenda zaidi..

Go safe mama lakwatare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…