TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

Uwiiiiiiiii jamani jamani! R.I.P Ivan.
 
Pole kwa familia!
Daaaaa zile dollari!
Maisha haya........
 
Kamfanyia vituko gani?
 
Alale mahala alipojichagulia akiwa hai tumkumbuke sana Mungu siku zetu za uhai kabla mlango wa mbingu haujafungwa na ukomo wa pumzi tuishi kwa kupenda haki na kuwa na amani na watu wote huku tukisameheana na kuukomboa wakati kwa sala na maombi maana mshitaki wetu ibilisi kutwa anazungukia kututafuta atumeze, pole zari na watoto wako pole family ya ivan tuliobaki tujifunze kutoka kwa mwenzetu aliye tangulia kwamba Hata mtoto akiwa tumboni ni lazima azaliwe tu iwe kwakisu au natural lazima azaliwe na kifo ndio hivo hivo hata uwe tajiri au maskini mtoto au mkubwa kufa lazima ufe ikifika imefika tujenge mwisho mwema kila siku tuishi tukiona kama ni siku yetu ya mwisho tusali na kumtegemea Mungu kwa kila jambo
Mungu tujalie mwisho mwema, Amen.
 
Tangulia tupo nyuma yako, pole kwa watoto, dnugu, jamaa na wazazi wako.
 
RIP the don king Ivan
The Don aliishi the wealth life but not the health life, pesa na lifestyle yake imemmaliza, vyakula alivyokula especially vya mafuta vimemmaliza na kutokufanya mazoezi...RIP prezdaa of rich gang
Hili nalo neno aseeeee
 
Amezaliwaa 12/12/1977 ko amefariki akiwa na miaka 39 na miezi kadhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…