TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

Pole kwa familia!
Daaaaa zile dollari!
Maisha haya........
 
Kama taarifa hii ni kweli, basi tumwombee Mungu aiweke roho yake pema peponi.

Kulingana na vyombo vya habari Uganda, wiki mbili au tatu zilizopita jamaa huyu akiwa Kampala katika maisha yake ya kawaida aligundua kuwa kuna mtu aliuza nyumba zake kadhaa kinyemelea bila yeye mwenyewe kujua. Hiyo ilimsitua sana kwa vile alishabadilisha umiliki wa nyumba zote zile pamoja na biashara zake zote na jina la Zari halikuwapo tena ila yeye peke yake; nadhani akidhania kuwa ni Zari kamchezea hivyo, akaamua kutangaza kuuza ile nyumba ya ghorofa moja aliyokuwa amemjengea mama yake Zari ambayo inasemekakana nayo ilikuwa katika jina lake Ivan peke yake. Mauti yamemkuta kabla nyumba hiyo haijanunuliwa. Nadhani mgawanyo wa mali zake utaleta mzozo sana katika familia yake kama hakuacha makaratasi mazuri kisheria; basi Zari atashinda na atachukua kila kitu pamoja na vituko vyote alivyomfanyia katika maisha.
Kamfanyia vituko gani?
 
Alale mahala alipojichagulia akiwa hai tumkumbuke sana Mungu siku zetu za uhai kabla mlango wa mbingu haujafungwa na ukomo wa pumzi tuishi kwa kupenda haki na kuwa na amani na watu wote huku tukisameheana na kuukomboa wakati kwa sala na maombi maana mshitaki wetu ibilisi kutwa anazungukia kututafuta atumeze, pole zari na watoto wako pole family ya ivan tuliobaki tujifunze kutoka kwa mwenzetu aliye tangulia kwamba Hata mtoto akiwa tumboni ni lazima azaliwe tu iwe kwakisu au natural lazima azaliwe na kifo ndio hivo hivo hata uwe tajiri au maskini mtoto au mkubwa kufa lazima ufe ikifika imefika tujenge mwisho mwema kila siku tuishi tukiona kama ni siku yetu ya mwisho tusali na kumtegemea Mungu kwa kila jambo
Mungu tujalie mwisho mwema, Amen.
 
Tangulia tupo nyuma yako, pole kwa watoto, dnugu, jamaa na wazazi wako.
 
RIP the don king Ivan
The Don aliishi the wealth life but not the health life, pesa na lifestyle yake imemmaliza, vyakula alivyokula especially vya mafuta vimemmaliza na kutokufanya mazoezi...RIP prezdaa of rich gang
Hili nalo neno aseeeee
 
Hawakujibiwa watoto, jibu langu lina muktadha mpana.

Nikudokolee kidogo!

Jibu halipendekezi kuwa linataka kumfufua mfu bali limeilenga roho ya mchokoza hoja kuwa ina advocate kifo na si uhai.

Jitenge na roho mbaya unijibu aivani alikuwa na umri miaka mingapi?
Amezaliwaa 12/12/1977 ko amefariki akiwa na miaka 39 na miezi kadhaa
 
Back
Top Bottom