TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

Pole kwa familia yake esp watoto[emoji27] [emoji27] [emoji27]
 
RIP ivan. Huyu baba alijua kula bata. Picha zake ni kuonyesha madola tu.na hawajahi kuonyesha mwanamke wake.juu ya yote alikuwa anawapenda sana watoto wake.
 
Jana usiku TV ya Bukedde ilionyesha documentary yake akitoa misaada kwa wanafunzi wa primary. The guy looked sick. RIP
 
Rest in perfect peace Ivan

Umenitoa chozi na sijuani nawe. Video clip ni post ya mwisho akiwa Uganda alirusha tarehe 11 May 2017. Uliwapenda sana sana watoto wenu wa kiume 3 na kuwajali na kuwaheshimu na Mama yao Zari..mfano mzuri kwa wababa.

Zari aliachana na Ivan na baadae kuja kuwa na Diamond Platnumz ambaye wana watoto wawili pamoja.

Moja ya biashara kubwa ni umiliki wa vyuo mbali mbali nchini South Africa, alizianzisha na Zari. Na biashara zingine, ni Tycoon Ivan.

Poleni sana kwa msiba.

View attachment 514047

kutoka online.

Picha wakati wa uhai wake bonyeza mshale kwenda kuziona kwenye post ingine humu...


=====

Mzazi mwenzake na Zari The Bosslady, Ivan Ssemwanga amefariki dunia katika hospitali nchini Afrika Kusini alipokuwa amelazwa kutokana na matatizo ya moyo.

Ivan ambaye alifanikiwa kupata watoto watatu na Zari, baby mama wa Diamond Platnumz, alikimbizwa hospitalini mapema wiki iliyopita baada ya kupoteza fahamu. Kupitia mtandao wa Instagram, Zari amethibitisha kutokea kwa tukio hilo kwa kuweka picha ya bosi huyo na kuandika ujumbe wa kusikitisha.
Duh, Mondi nimeamini aliaga kwao, hapendagi usumbufu.
 
Bilionea wakat aliondoka hapo ni watoto tu watakaoangaliwa tu na si vingine yaan tunaambiwa tunatakiwa kuwa wavumilivu kwenye ndoa zetu hii hali tayari mnawatoto inahitajika hekima na busara ya hali ya juu na uvumilivu mnoo
Sasa watoto siwapo na zari
 
Tufufulie Nyerere watanzania tutakushukuru sana, otherwise acha kum kufuru M/Mungu
Hawakujibiwa watoto, jibu langu lina muktadha mpana.

Nikudokolee kidogo!

Jibu halipendekezi kuwa linataka kumfufua mfu bali limeilenga roho ya mchokoza hoja kuwa ina advocate kifo na si uhai.

Jitenge na roho mbaya unijibu aivani alikuwa na umri miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom