Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
m
utakuwa team wema
jinga kweli wewe malabouk..................Mume uliyezaa nae watoto watano ukamuacha solemba tamaa ya ujana ikakushika japo umri ulikutupa ukaja kufanya uasherati na kula raha na diamond na kusahau kuwa ulipaswa uvumilie mlee watoto na wenzio.
Leo hii kwny post yako unamwita great man na kumpa sifa kedekede marehemu Ivan baada ya kufariki kwani ulkuwa wapi kusema haya wakati hajafa??
Hili liwe funzo kwa wanawake mnaoacha waume zenu na kwenda kurukaruka na kula starehe iko cku watu mnaowaacha watakufa na kuwaacha ktk hali ambayo mtaumia sana. Saiv zari anatamani amuombe msamaha Ivan ila hawezi tena anatamani aseme neno lkn tayar amechelewa....
Hakuna wakati mgumu hapa duniani kama kudaiwa kihisia na marehemu
utakuwa team wema