TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

Alitakiwa amove on na aoe kabisa, wallah leo angekuwa hai, kusema ukweli jinsi mond na zari walivyokuwa wanajianika lazima alikuwa anaumia tu.Sasa yeye yupo peke yake ,alitakiwa avute mke aweke ndani. Mimi nimejifunza kitu, mwenzako akikuacha na wewe tafuta mtu muwe public mahusiano yenu.
 
Nasema haya kutokana na sababu nitakazo zihainisha hapa chini ila ukweli kifo cha Ivan Semwanga chanzo chake nimapenzi sababu kuu ni Zari!
Ukiangalia tangu waachane na Zari Ivan hakuikubali ile hali na alijitahidi kumbembeleza Zari ila Zari hakutaka!
Na Ivan alitegemea Zari angerudi waendelee na maisha! ila baada ya kuzaa na Diamond Ivan alizidi kuishiwa tumaini la kuwa na Zari kwani alimpenda mno!!
f1dbd0bde9f1028cb0efea353f7df2ca.jpg
e9423d9d6a983a0fc2403ea78aad2ea9.jpg
bd0818ff6c03ba4e88094d6b44d624bc.jpg
ff1baf9bd030eafc8a956c069aaf1b22.jpg
e48bbcc8d2d62587134f9802e9e63bd8.jpg

Katika hizi picha alikuwa akituma ujumbe kwa Zari! Rudi mama kama pesa ipo huku!pia ukumbuke Diamond alipost kuwa amenunua Hammer kesho naye aaapost ana Hammer3 hii yote nikuwa alimpenda sana Zari!

Pia katika kuachana Ivan hakuwahi kupost picha yoyote akiwa na mwanamke! aliamini hakuna mwanamke wakumchallenge Zari hivyo hakuona sababu yakujidhalilisha kwani alijua Zari ni mzuri sana, hivyo hakaona ajipe muda!na alitamani arudi ila maamuzi haya, hayakuwa upande wake!! kwani Zari alishamchoka!. Hivyo umauti huo umetokana na msongo mkubwa wa mawazo!. Nina hakika Mungu akimfungulia Zari kutafakari juu ya kifo cha Ivan atatambua yeye ndiye aliyesababisha!

Mara nyingi tukiwa katika mahusiano ya muda mrefu hutokea tunachokana na kutamani yavunjike hata kama tunawatoto!kutokana na maudhi madogo madogo!ila ujidanganya nakusema bora tuachane ila wakiondoka! baada ya wiki utamani kuwarudisha ila mara nyingi uogopa watu watanionaje!!mbaya wakienda ambapo hatuwezi kuwaona tena kama kufariki basi hapo ndipo huwa tunapatwa msongo wa mawazo!! na hasa kama wametuachia watoto!.

Taadhari ikikutokea usijixhanganye katika pombe tumia muda kukaa na familia na kuwa busy na watoto baada ya muda tafuta mwenza japo atakuwa halingani na yule na nivigumu kumpata kama yule!na mhalalishe mbele ya familia yako ili upate muda wakukaa naye ndani kuliko kutumia muda mkiwa hotelini!maana ukirudi kitandani kwako hali itaanza upya!

Hivyo nirudi katika mada kifo cha Ivan Semwanga kimesababishwa na msongo wa mawazo ya mapenzi juu ya Zari.


Kwa hiyo? Na wewe pia umetoa laana?
 
Inaonekana Dmond anampiga miti vizuri ndo maana kakimbia South Africa kaufata mtwangio bongo
 
Inawezekana ila Huyo Ivan..Kumbuka ndo aliyeanza kumwacha Zari akawa Na mdada Aitwae Maureen. Sasa siku jua waliishia wapi..ila kuhusu Yy za Zari japo walitengana walikuwa wakielewana..Mfano Ivan akiwa Na shughuli Zari atapost kama support. Na yote kwa jili ya Watoto.But kama msemaji alivyosema huenda kweli on one side note...Alijua nikimwonyeshea madem Zari ataumia but kumbe wanawake sometimes hata ukiwa Na Mali kiasi gani.Tukisema No!!! Huwa no kweli.Sema wanaume wengi hii hawalijui.Kuna kipindi pesa haiwi tena Na thamani moyo ukikinai.
tunawaambiaga kila siku nyanyasa sanaa mwanamke ila akija kusema no utakufa au kuchanganyikiwa.
 
Duniani hakuna mwanamke wakuniuwa,labda mama'angu mzazi alienileta duniani na kunilea ila sio hawa mnakutana mnadanganyana alimradi maisha yasogee!stress mpaka unakufa what for!?mie naamini ni kifo cha kawaida tu anachoweza kufa mtu yeyote.
 
Yani mshiko wote ameshindwa kupata mtoto mzuri kuliko Zari

At some point niliwaza kama ww. Ila mwanangu acha tu mapenzi hayaingiliki hayaambiliki.
Usiombe ukapenda....mtu unaweza ukawa na mihela kibao then ukaja ukazimika for some fine nd calm average chick.

Trust me i do kno what im saying.
 
Hivi unapata wapi ujasiri wa kuandika haya?!mwanaume mzima unamtuhumu mtu kusababisha kifo?!wewe unawafahamu hawa watu kiundani kweli au unawaona tu kwenye mitandao ya kijamii kama tunavyowaona sisi?!

Kwa taarifa yako huo ugonjwa wa Presha ni ugonjwa wa ukoo wa akina Ivan,baba yake na mama yake wote wamekufa kwa BP,hebu tujifunze kukaa kimya jamani kama hatujui kitu,sio kila linalokujia kichwani basi na wewe unataka uliseme,mengine hayapendezi abadani unaonekana kituko
Hivi kuna ugonjwa wa ukoo?
 
hehee mleta mada uache ujinag utakuwa team wema........... mana wao bila aibu wako kule insta bila kujali zarina na yeye ni mwanadamu yule ni baba wa wanawe hata wangekosana nini !!wale watoto wananawaunganisa halafu wao bila aibu wala soni wanaongea maneno ya kishenzi utadhani huyu wema hatakufa ama ni mtakatifu kumbe na yeye ni kahaba kama makahaba wengine wa kule kona bar mchewww hebu muache upuuzi na hizi team mav.i mav.... kuna wakati mnapaswa kutumia busara na utashi wa kibinadamu team ushuzi wengine hata hamewafahamu hao mnaoshabikia kwa kuwaona zaidi ya picha zao lakini mwajifanya wajuaji nyamafu zako
 
Ni wazi Sasa kutokana na Maelezo ya Baba ya Ivan Ssewanga Kifo Cha Mwanae kimesababishwa na Msongo wa Mawazo taangu Zari Aondoke.

Tujiulize Zari baada ya Kuondoka alienda wapi?

Na Kama aliendelea Kubakia South Africa Kwanini Ivan hakumfata huko?

Zari baada ya Kuachana na Ivan Alianzisha Uhusiano na Nani?

Wanasema Stress ndo Zimemuua Ivan je nani aliyemlanghai Zari?

Daah Maswali hayo yanaleta jibu Moja nashauri Diamond asiende huko Uganda Ila Zari yeye kama anaona Inafaa aende Akamzike Baba wa watoto wake.
 
Hakuna mwenye majibu sahihi labda ukivaa viatu vya Ivan na kupata picha what he have been through ndo utupe mtazamo wako kabla hujafa,,,,,nkutakie kuvaa kwema
 
Kwa nje ni rahisi kuonekana kirahisi ila huwa maumivu yake anajua Mungu tu!
"Usiombe kuachwa na mwanamke unayempenda"
Mizinga ya konyagi utakunywa kila mwanamke utakuwa naye ila maumivu yanabaki palepale.
 
Back
Top Bottom