TANZIA TANZIA: Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani afariki dunia

TANZIA TANZIA: Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani afariki dunia

Ulitaka aseme amefariki kutokana na matatizo ya upumuaji? Huyu ni Mzee wetu tunamheshimu, tumwache apumzike kwa amani na azikwe kwa heshima anayostahili. Bwana alitoa ma Bwana ametwaa, jina lake libarikiwe
 
Ulitaka aseme amefariki kutokana na matatizo ya upumuaji? Huyu ni Mzee wetu tunamheshimu, tumwache apumzike kwa amani na azikwe kwa heshima anayostahili. Bwana alitoa ma Bwana ametwaa, jina lake libarikiwe

Kwani wanaokufa kwa matatzo ya upumuaji hawaheshimiki ama hawpumziki huko wanakoenda bado wanaendelea kuugua koona?
 
TYK

Kwa wale tunaomfahamu wakili Gaudiose Ishengoma, amelala usingizi wa milele. Amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa kwenye matibabu Agha Khan, Dsm alikolazwa kwa tatizo la upumuaji.

Apumzike kwa amani.
Mpaka serikali izinduke kuhusu corona wote tutakuwa tumekwisha
 
Mkuu achana na wapuuzi wachumia tumbo wakina millad.Habari za uhakika na ukweli ambazo zimetumwa na mashuhuda na familia zipo kwa Mange Kimambi.Alitoa Namba na wana familia wanamtumia ili kuusema ukweli unaofichwa.Follow page yake utaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitaka aseme amefariki kutokana na matatizo ya upumuaji? Huyu ni Mzee wetu tunamheshimu, tumwache apumzike kwa amani na azikwe kwa heshima anayostahili. Bwana alitoa ma Bwana ametwaa, jina lake libarikiwe
Kwa hiyo unataka kuniambia kuuambia umma ukweli wa sababu za kifo cha mstaafu ni kumvunjia heshima !!!

Ama kweli kupatwa kwa watanzania!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom