Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Ndo hicho nilichokua nakisema maana Maraga CJ mwenzao huko Kenya alifanya yake sema naona jamaa hapo juu anajitoa ufahamu...Mkuu hapa nadhani mahakama ili ingiliwa
Ukisoma judgement yote utakutana na mashaka kwani alisema
Mgombea binafsi si swala la mahakama Bali ni bunge lenye mamlaka ya kutunga sheria
Akasahau even court could make a judge made lawa (precedent)
Sent using Jamii Forums mobile app