TANZIA TANZIA: Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani afariki dunia

TANZIA TANZIA: Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani afariki dunia

tashwishwi,
Shukhuran kwa kuweka mambo sawa kama inavyotakiwa hapa JamiiForums kwa manufaa ya sisi vijana, RIP Mzee Augustino Ramadhani na poleni sana familia, ndugu na marafiki.
 
Kila mwenye kutimiza kusudi la kuwepo Duniani, hureje Kwa yeye aliyemleta kutimiza kusudi Hilo

Tuliumbwa Kwa udongo na udongoni tutarejea,. RIP Jaji Agustino

Ama hakika, Duniani tunapita, Poleni Sana wafiwa
Yani Kiongozi ukifikiria unaweza kuacha kufanya kila kitu ukabaki tu unakisubiri.

Nina ndugu yangu huwa ana kamsemo Masikini hafi mapema yani utanyooka na hufi ng'o kwa hiyo bora tuendelee kuzisaka tu.
 
Retired Chief Justice AUGUSTINO RAMADHANI of TANZANIA has passed on at AGA KHAN Hospital Dar es Salaam a few minutes ago. I will keep you updated.

Ibrahim H. JUMA
Chief Justice TANZANIA
pole sana Watanzania wote , Mzee Mwenzangu huyu, yaliyopita tusamehe tu, waliopo hai ndio tuwadai haki zetu, mmenielewa, akina FELESHI.
 
Mtikila 1 - Ni Jaji Lugakingira (RIP) na wenzie. Mtikila 2 part 2 - ni marafiki wa mahakama - Kabudi na wenzie ndio walioamua kuwa mahakama haiwezi kubadili sheria iliyopitishwa na Bunge. Mtikila 2 part 1 haikuwa na marafiki wa mahakama. Jaji Ramadhani na jopo lake wakampa Mtikila ushindi.

Serikali ikaenda Bungeni kutunga/kubadili sheria ili hukumu ya Ramadhani na wenzie ishindwe kufanya kazi. Kabudi na wenzie wakasema kuwa kazi ya mahakama ni kutafsiri sheria siyo kubadili. Na kuanzia hapo kabudi akaanza kupanda kisiasa. The rest is history. Bado nasema: acha uongo.
Lyamber,
 
Mtikila 1 - Ni Jaji Lugakingira (RIP) na wenzie. Mtikila 2 part 2 - ni marafiki wa mahakama - Kabudi na wenzie ndio walioamua kuwa mahakama haiwezi kubadili sheria iliyopitishwa na Bunge. Mtikila 2 part 1 haikuwa na marafiki wa mahakama. Jaji Ramadhani na jopo lake wakampa Mtikila ushindi. Serikali ikaenda Bungeni kutunga/kubadili sheria ili hukumu ya Ramadhani na wenzie ishindwe kufanya kazi. Kabudi na wenzie wakasema kuwa kazi ya mahakama ni kutafsiri sheria siyo kubadili. Na kuanzia hapo kabudi akaanza kupanda kisiasa. The rest is history. Bado nasema: acha uongo.
Sasa nakuuliza mtikila 2 nani alie preside over? Na kutoa uamuzi friends of court uamuzi wao hauwezi kumbind jaji atoe uamuzi fulani kwaio huwezi kusema friends of court ndo walioamua wakati wao walikua wanatoa ushauri alieamua ni huyu jamaa aliefariki huku akiwa na kadi ya CCM mfukoni..
 
Marafiki wa mahakama waliwazidi uzito Jopo la jaji Ramadhani. That's it. Sheria is about justice and fairness, kama haujui. Siyo mambo ya mimi ni baba kichwa cha nyumba lazima niamue nitakavyo.
Sasa nakuuliza mtikila 2 nani alie preside over? Na kutoa uamuzi friends of court uamuzi wao hauwezi kumbind jaji atoe uamuzi fulani kwaio huwezi kusema friends of court ndo walioamua wakati wao walikua wanatoa ushauri alieamua ni huyu jamaa aliefariki huku akiwa na kadi ya CCM mfukoni..
 
RIP Mzee wetu Hon. Augustino Ramadhani.
RIP Ishengoma

Jaji alikuwa kwenye Kinyang'anyiro pia cha kugombea urais mwaka 2015 Lala salama Jaji
 
R. I. P Jaji.
Ametumikia taifa katika nyanja mbali mbali sana vitengo mbali mbali pia.... Mwenyezi mungu ampumzishe mahala pema
 
Alifahamika pia kwa jina hili, au!
The legal fraternity has lost five of it's very own in 24 hours
Augustino Ramadhani CJ RTD
Ali Haji Pandu CJ Zanzibar RTD
Alhaji Musa Kwikima AG J RTD
Evod Herman Mmanda
Gaudiosius Ishengoma
 
Back
Top Bottom