Tanzia: KakaKiiza (JF Member) afiwa na Mkewe!

Tanzia: KakaKiiza (JF Member) afiwa na Mkewe!

dah! Aisee its sad tranquility,....taarifa hii imenistua na imenisikitisha pia,RIP shemeji yangu, pole sana kakakiiza,Mwenyezi Mungu awe nawe na watoto kwa ujumla katika kipindi hiki kigumu,Tulimpenda lakni Mungu amempenda zaidi
 
Jamani this is so sad..pole sana kaka Kiiza Mungu akupe faraja moyoni na nguvu ya kuweza kuyashinda machungu. Apumzike kwa amani dada yetu
 
Pole sana KakaKiiza. Mungu awe nawe katika wakati huu mgumu. Kiresua mazishi wapi?
 
Last edited by a moderator:
Ni mtihani mkubwa sana kufiwa na Mwenza kuliko na mtu yeyote yule... Mwenyezi Mungu akupe nguvu, Imani na Amani katika kipindi hiki kigumu ambacho wamhitaji kuliko wakati wowote ule na ajalie wepesi katika shughuli hii nzito ya msiba. Na Mwenyezi Mungu mwingi wa upendo amjaalie marehemu neema ya kuweza kupumzika kwa Amani.

Pole sana kaka Kiiza. Pamoja sana.
 
pole sana Kakakiiza ni ngumu sana jamani Mungu akupe faraja na kukupa nguvu wakati huu mgumu na mchungu
 
pole sana mkuu, inasikitisha kuwa kumkosa mama mjamzito au mtoto mchanga na wakati mwingine kwa mambo ambayo yanaepukika.

So sad.

May God give your courage during this difficult moment in life
 
Pole sana mkuu kaka kiiza. It really pains a lot to loose some one you love, and no simple word can ease your pains. Just believe in God, is the only one who can uplift your tribulations. In that darkest hour will be there for you.

RIP MAMA KAKAKIIZA.
 
Pole sana KakaKiiza. Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
 
Pole sana Chief KakaKiiza M.Mungu akufanye ni mwenye subira katika wakati huu mgumu.
 
Last edited by a moderator:
d7f78dc7e45035cc6050256781c945b9_answer_2_xlarge.jpeg


Dear KakaKiiza

Life.....so fragile,
Loss....so sudden,
Heart....so broken,...
in the wake of such a loss,
we are haunted by things we dont,
and may never understand.
Yet the solace we seek may not come from answers.
So we look for comfort in the belief of love's everlasting connection.
May that love lift you and hold you close,
and give you peace.
 
Duh! Ama kweli kifo hakina adabu!
Poleni sana wafiwa
pole sana Kakakiiza kwa kipindi hiki kigumu ambacho ni ngumu sana kukuizoea ila kwa kuwa tuna matumaini.
Pole sana KakaKiiza!

MUNGU NA AKUPE FARAJA KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU MPENDWA WETU.
 
Pole sana kaka mungu akutie nguv ktk kpnd hki kigum unachopitia
 
Wana Bodi,

Nasikitika sana kuwapa taarifa za msiba wa Mke wake na Kaka Kiiza, kilichotokea sasa hivi. Nimepata ujumbe wake kwa njia ya sms juu ya taarifa hizi za kusikitisha.

Naungana na ndugu na jamaa wa ndugu yetu katika maombolezo ya msiba huu mkubwa.

Kaka Kiiza, Asured kwamba mawazo yetu na sala zetu yapo na nawe katika kipindi hiki chote cha msiba! Jipe Moyo Mkuu kwa kuwa kazi ya Mungu haina makosa hata kidogo...

Binafsi sikupata details zaidi!! nitakapopata nitaziweeka hapa


Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana Libarikiwe!

Kwa wale watakao weza kuhudhuria msiba safadhali tukamtie mwenzetu Moyo!

Kiresua

More info!!

Mwasiliano na Kaka Kiiza ni 0752 30 78 78

Mama Kiiza amefikwa na mauti kwa sababu za ujauzito!

pole. R.I.P mama KIIZA.
 
Back
Top Bottom