TANZIA TANZIA: Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU), Prof. Fulgens Linus Mbunda afariki dunia

TANZIA TANZIA: Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU), Prof. Fulgens Linus Mbunda afariki dunia

Kuna mdau mmoja alileta mada ya msingi hapa jukwaan kuhusu vifo hasa vya watu wazito. Hivi vifo nimejaribu kufanya uchunguzi nimegundua watu wengi wana matatizo ya kiafya. Na kuna uwezekano wa kupata vifo vingi kutokana na watu kutokwenda India south Africa na ulaya walikokuwa wamezoea kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiki chuo ni miongoni mwa sehemu zilizokuwa zimeathiriwa sana na Corona na kuna mtawa alifariki hapo Tanzania ikaficha ukweli ila Vatcan wakamtangaza kuwa kafa kwa COVID 19. Nakumbuka ilibidi kifungwe na watumishi wote waliondolewa chuoni hapo.
 
Kuna mdau mmoja alileta mada ya msingi hapa jukwaan kuhusu vifo hasa vya watu wazito. Hivi vifo nimejaribu kufanya uchunguzi nimegundua watu wengi wana matatizo ya kiafya. Na kuna uwezekano wa kupata vifo vingi kutokana na watu kutokwenda India south Africa na ulaya walikokuwa wamezoea kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ukweli hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naamini hii itafanya tujueane zaidi.

Naunga hoja.


R. I. P
Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.

Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.

Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.

Maxence Melo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mdau mmoja alileta mada ya msingi hapa jukwaan kuhusu vifo hasa vya watu wazito. Hivi vifo nimejaribu kufanya uchunguzi nimegundua watu wengi wana matatizo ya kiafya. Na kuna uwezekano wa kupata vifo vingi kutokana na watu kutokwenda India south Africa na ulaya walikokuwa wamezoea kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wote walikua wanaenda india na ulaya kutibiwa tatizo la upumuaji?
 
Kuna mdau mmoja alileta mada ya msingi hapa jukwaan kuhusu vifo hasa vya watu wazito. Hivi vifo nimejaribu kufanya uchunguzi nimegundua watu wengi wana matatizo ya kiafya. Na kuna uwezekano wa kupata vifo vingi kutokana na watu kutokwenda India south Africa na ulaya walikokuwa wamezoea kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimekuelewa Sana , access ya kutibiwa hospitali za nje ilipopotea inaezekana tukawa nagonjwa wengi waliotakiwa ku attend clinics huko waki risk maisha yao hapa hapa ,

Nadhani Ni wakati sasa serekali ifikirie kuboreaha sekta ya afya , maana kwetu bado Hali ni mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.

Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.

Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.

Maxence Melo


Nikajua umetuacha mbele ya haki mkuu...maana huko kwenu hali ni tete aise....
 
Back
Top Bottom