Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye hujui, hiki chuo kilifungwa baada ya wafanyakazi wake kufa kwa Corona. Kama huna data sahihi usijifanye kuhani. Sisi hivi vifo tunavifuatilia kuandaa takwimu muhimu!Hajafa kwa corona, ila najua kuna watu watalazimisha
Mkuu hiki chuo ni miongoni mwa sehemu zilizokuwa zimeathiriwa sana na Corona na kuna mtawa alifariki hapo Tanzania ikaficha ukweli ila Vatcan wakamtangaza kuwa kafa kwa COVID 19. Nakumbuka ilibidi kifungwe na watumishi wote waliondolewa chuoni hapo.Kuna mdau mmoja alileta mada ya msingi hapa jukwaan kuhusu vifo hasa vya watu wazito. Hivi vifo nimejaribu kufanya uchunguzi nimegundua watu wengi wana matatizo ya kiafya. Na kuna uwezekano wa kupata vifo vingi kutokana na watu kutokwenda India south Africa na ulaya walikokuwa wamezoea kwenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuambie unayejuwa , kafa na nini ?!Hajafa kwa corona, ila najua kuna watu watalazimisha
Kuna ukweli hapaKuna mdau mmoja alileta mada ya msingi hapa jukwaan kuhusu vifo hasa vya watu wazito. Hivi vifo nimejaribu kufanya uchunguzi nimegundua watu wengi wana matatizo ya kiafya. Na kuna uwezekano wa kupata vifo vingi kutokana na watu kutokwenda India south Africa na ulaya walikokuwa wamezoea kwenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.
Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.
Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.
Maxence Melo
Wote walikua wanaenda india na ulaya kutibiwa tatizo la upumuaji?Kuna mdau mmoja alileta mada ya msingi hapa jukwaan kuhusu vifo hasa vya watu wazito. Hivi vifo nimejaribu kufanya uchunguzi nimegundua watu wengi wana matatizo ya kiafya. Na kuna uwezekano wa kupata vifo vingi kutokana na watu kutokwenda India south Africa na ulaya walikokuwa wamezoea kwenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimekuelewa Sana , access ya kutibiwa hospitali za nje ilipopotea inaezekana tukawa nagonjwa wengi waliotakiwa ku attend clinics huko waki risk maisha yao hapa hapa ,Kuna mdau mmoja alileta mada ya msingi hapa jukwaan kuhusu vifo hasa vya watu wazito. Hivi vifo nimejaribu kufanya uchunguzi nimegundua watu wengi wana matatizo ya kiafya. Na kuna uwezekano wa kupata vifo vingi kutokana na watu kutokwenda India south Africa na ulaya walikokuwa wamezoea kwenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli anapenda kuchomekea sana,pia alikuwa mpole sanaHuyu Mzee alikua poa sana, ndio nilimtaja kwenye Uzi Fulani ulikua unazungumzia Walimu ambao huwezi kuwasahau Chuo! Miaka ile alikua UDSM sifa yake ilikua ni kuchomekea
Si yule mfupi mweusi....
Hii video jamaa anakanusha, sasa hiyo barua nayo ni fake?😳
Mkuu sio umemix madesa? Mbn huyu jina sio hilo la jfHii video jamaa anakanusha, sasa hiyo barua nayo ni fake?😳
Rip
Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.
Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.
Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.
Maxence Melo
Anaenda kuzikwa Dar badala ya MbingaKwa heri MMATENGO