TANZIA TANZIA: Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU), Prof. Fulgens Linus Mbunda afariki dunia

TANZIA TANZIA: Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU), Prof. Fulgens Linus Mbunda afariki dunia

Mwili wa VC Prof Mbunda ukiingizwa kwenye gari kuanza safari ya kwenda Dar.
IMG_20200514_090542.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hufuatilii vitu halafu unabishabisha tuu. Hukuona tangazo la kuwaondoa wafanyakazi wote chuoni na wakaambiwa watalipwa nusu mshahara? Unajua kilichosababisha lile tangazo kutoka?
Huyo mtawa ambaye kifo chake kilifichwa unaweza kumtaja kwa jina?

Unaweza kutwambia alikuwa mwanafunzi au mfanyakazi?

Kama ni mfanyakazi, wa kitengo gani? Kama ni mwanafunzi, alikuwa akisomea nini?

Na alifariki lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hajafa kwa corona, ila najua kuna watu watalazimisha

Kufa ni kufa haijali mtu amekufa na nini. Ila mabeberu wanasema hivi:

"Death is often preceded by an infection, sometimes minor. If you do not test, you may attribute many deaths to Covid-19 or deny its role altogether. That is why the mortality rates from 1918 Spanish flu varied so much."

Hadi tutakapomaliza kuhakiki maabara iliyopima mbuzi ndipo tunaweza kufahamu Profesa huyu (rip) nini kilimwua.
 
Huyo mtawa ambaye kifo chake kilifichwa unaweza kumtaja kwa jina?

Unaweza kutwambia alikuwa mwanafunzi au mfanyakazi?

Kama ni mfanyakazi, wa kitengo gani? Kama ni mwanafunzi, alikuwa akisomea nini?

Na alifariki lini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ungeongezea na alizaliwa lini? Hospitali gani? Mkoa gani? Wilaya gani?

Ingependeza zaidi.
 
Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.

Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.

Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.

Maxence Melo
Asante kwa wazo hill, ungeandikia Uzi kabisa,kuliko kuwa ndan ya comment

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mdau mmoja alileta mada ya msingi hapa jukwaan kuhusu vifo hasa vya watu wazito. Hivi vifo nimejaribu kufanya uchunguzi nimegundua watu wengi wana matatizo ya kiafya. Na kuna uwezekano wa kupata vifo vingi kutokana na watu kutokwenda India south Africa na ulaya walikokuwa wamezoea kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sababu inaeleweka kabisa,vigogo walikuwa wana uwezo wa kupata tiba nzuri ya uhakika nje ya nchi kuliko tiba ipatikanayo kwenye hospital zetu.
Huu ni wakati muhimu wa kuongeza uwekezaji,wa nguvu kwenye sekta ya afya.
 
Back
Top Bottom