Mkuu hujui tuko vitani?tofautisha vifo vya mwaka jana na mwaka huu ,wacha matangazo ya vifo yabaki hapahapa kama siku zote,kwanini sasatutoe wakati huko nyuma watu walikuwa wanatangaza vifo vya wapendwawao hapa hapa.Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.
Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.
Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.
Maxence Melo
Sure..! [emoji2788]Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.
Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.
Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.
Maxence Melo
TakwimuNi kweli Kiongozi itasaidia kuondoa taharuki,kwani kutokuwepo kwa jakwaa lake kunachangia wanachangiaji kudhani /kuhisi vifo hivyo vinasababishwa na CVD19.
Ni vyema pia kama itafaa Tanzia ziwekwe kwenye Jukwaa la Afya c/o Magonjwa na Vifo vya binadamu /Majanga /Ajali /Watu na Makazi /Takwimu za Vizazi na vifo/
Au jukwaa la Uchumi c/o Uchumi na Maendeleo ya Watu wa Dunia.
No research, no right to speak.Mkuu hiki chuo ni miongoni mwa sehemu zilizokuwa zimeathiriwa sana na Corona na kuna mtawa alifariki hapo Tanzania ikaficha ukweli ila Vatcan wakamtangaza kuwa kafa kwa COVID 19. Nakumbuka ilibidi kifungwe na watumishi wote waliondolewa chuoni hapo.
Wewe hufuatilii vitu halafu unabishabisha tuu. Hukuona tangazo la kuwaondoa wafanyakazi wote chuoni na wakaambiwa watalipwa nusu mshahara? Unajua kilichosababisha lile tangazo kutoka?No research, no right to speak.
Umesema uongo wa wazi.
1. Tangu ugonjwa huu uingie nchini Mpaka jana, hakuna mfanyakazi, au mwanafunzi yeyote aliyekufa...
Huyu Mzee alikua poa sana, ndio nilimtaja kwenye Uzi Fulani ulikua unazungumzia Walimu ambao huwezi kuwasahau Chuo! Miaka ile alikua UDSM sifa yake ilikua ni kuchomekea
Sure, aliwahi kutuuambia kuwa nasikia watu wanalalamika kuwa wanapewa makarai...sina makarai mimi!!!! Dah sidhani kama kuna mtu alipata hilo caraiThe great Iroko tree has fallen!, alikuwa poa sana, hata alikuwa hakamati labda mtu ajitakie mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Humo ndimo inamopitia
Mtoa mada kajuaje kwamba kafa kwa kuugua ghafla na wewe umejuaje ni hiyo changamotoChangamoto ya kupumua
Nyinyi akina nani na katika nafasi ipi na kwa mamlaka gani?Wewe ndiye hujui, hiki chuo kilifungwa baada ya wafanyakazi wake kufa kwa Corona. Kama huna data sahihi usijifanye kuhani. Sisi hivi vifo tunavifuatilia kuandaa takwimu muhimu!
Umeiangalia video ya huyo mtu anaekanusha?Kwa kweli ni vibaya sana kuzushia watu kifo. Hii imepitiza kipimo sasa.
Na waandike kazikwa na watu wangapi, na kama maiti ilivalishwa PPE au hapana.Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.
Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.
Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.
Maxence Melo
Mimi ni mfanyakazi wa RUCU.Wewe hufuatilii vitu halafu unabishabisha tuu. Hukuona tangazo la kuwaondoa wafanyakazi wote chuoni na wakaambiwa watalipwa nusu mshahara? Unajua kilichosababisha lile tangazo kutoka?
Muda huu tumemaliza kumuaga VC wetu.Wewe hufuatilii vitu halafu unabishabisha tuu. Hukuona tangazo la kuwaondoa wafanyakazi wote chuoni na wakaambiwa watalipwa nusu mshahara? Unajua kilichosababisha lile tangazo kutoka?