Naona Kama TCU waliwakazia Hawa private Universities Vice Chancellors wawe Maprofesa (PhD). Nimeona SAUT wamemweka mbobezi wa Sheria, MwanadiplomasiaAlimaliza muda wake, akampisha huyu aliyefariki.
Yeye bado yuko RUCU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekufa kwa kukamilisha heaabu aliopangiwa ya kuishi hapa duniani. No more.Vyovyote sahihi..
Alimaliza muda wake, akampisha huyu aliyefariki.
Yeye bado yuko RUCU.
Sent using Jamii Forums mobile app
wanaoafiki waseme NDIYONapendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.
Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.
Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.
Maxence Melo
Hivi nikuulize kitu fulani,hapa Bongo mtu kama una pesa za kutosha hakuna mahali au hospitali hata moja unaweza kupata tiba sahihi?Mkuu nimekuelewa Sana , access ya kutibiwa hospitali za nje ilipopotea inaezekana tukawa nagonjwa wengi waliotakiwa ku attend clinics huko waki risk maisha yao hapa hapa ,
Nadhani Ni wakati sasa serekali ifikirie kuboreaha sekta ya afya , maana kwetu bado Hali ni mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nikuulize kitu fulani,hapa Bongo mtu kama una pesa za kutosha hakuna mahali au hospitali hata moja unaweza kupata tiba sahihi?
Sent using Jamii Forums mobile app
ooh hapo sawa nimekupata.Tatizo siyo pesa tatizo ni historia ya mgonjwa na dawa gani alikuwa amezoea kutumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote walikua wanaenda india na ulaya kutibiwa tatizo la upumuaji?
Kwa Aina hii ya Wasomi vijana wa Sasa, tunaweza kuwapata humble Kama Prof. Mbunda?Last time nilikutana na Prof Mbunda ilikuwa TMJ hospital wote tukiwa tumeenda kumuona The late Prof Mabele wa Ruaha, tuli spend almost a hour kumsubiri mgonjwa coz alikuwa dialysis. Ni mtu mmoja so humble na mcheshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wapo na wataendelea kuwepo ila most of them wengi ni wanafiki wenye tabia za kujimwambafwai na kujipendekeza ili waweze kupata teuzi mbalimbaliKwa Aina hii ya Wasomi vijana wa Sasa, tunaweza kuwapata humble Kama Prof. Mbunda?
Lakini isiwe kwa watu mashuhuli...Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.
Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.
Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.
Maxence Melo