TANZIA Tanzia: Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Umbulla(CCM) afariki dunia

TANZIA Tanzia: Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Umbulla(CCM) afariki dunia

RIP Hon. Martha Umbulla
emoji120.png
 
Waliambiwa watubu ili wapate toba baada ya madudu ya uchaguzi wakashupaza shingo, basi huu mwaka utakuwa mgumu sana kwao.
 
Pole sana familia hakika kwa hili nafsi kutoka tunafanana.
 
Kwani si tuliambiwa kuwa hakuna kwenda kutibiwa ughaibuni?
 
Rest well Martha
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
 
Back
Top Bottom