TANZIA Tanzia: Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Umbulla(CCM) afariki dunia

TANZIA Tanzia: Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Umbulla(CCM) afariki dunia

HUYU MBUNGE ALISHAWAHI KUONGEA MCHANGO GANI BUNGENI NANI ANA VIDEO ...RIP
AU NDIO WALE MAMA MARIA ANAASEMA ; "....wanasombwa kuongeza idadi ya vichwa"
Kwani Joyce Mukya alishawahi kutoa mchango gani hungeni zaidi ya kugombewa na Mbowe na Aeshi.?
 
ivi ukifia india afu ukazikwa manyara siku ya kufufuka unafufukia wap?
 
Tatizo lenu hamna kumbukumbu mnadandia mada huku mmemsahau shoga wenu anakotibiwa.
Nyumbu pingapinga Fc hovyo kabisa.
Punguza jazba mtu mzima hebu relax acha hasira,wajibu wana kwa staha hakuna haja ya kurusha ngumi

Ova
 
Mwenyezi Mungu mwenye huruma ampe pumziko la amani ya milele. Amina
 
Sipika hawezi kuchagua masalia mengine ya Covid 19 ili azibe nafasi?
Raha ya Milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie, Martha apumzike kwa amani.Amina!
 
Back
Top Bottom