Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kula, kuvalishwa, kulala bure pamoja na pocket money halafu unalipa kwa shikamoo asubuhi na jioni tu basi:A S-baby:wewe kuishi kwa shikamoo ndio nini?????
Yeye anajitegemea na anafamilia kabisa, anaishi mkoa tofauti na kwao.
Ni kula, kuvalishwa, kulala bure pamoja na pocket money halafu unalipa kwa shikamoo asubuhi na jioni tu basi:A S-baby:
Kwani na wewe unaishi hivyo???:shocked:Mweeee!!!! umenifungua macho.
Kwani na wewe unaishi hivyo???:shocked:
hahaha hongera sana but you 'll never get enough kwa sababu utawekewa limits hivyo hutakuwa na furaha ya kweli, trust me raha ya kitu ukitolee jasho japo kidogo hahahahaNdio, kila kitu nafanyiwa, mimi kazi yangu kusema shikamoooooooooooooooooo, huku nimepiga goti, hahahaha
hahaha hongera sana but you 'll never get enough kwa sababu utawekewa limits hivyo hutakuwa na furaha ya kweli, trust me raha ya kitu ukitolee jasho japo kidogo hahahaha
RipMember mwenzetu amempoteza baba yake mzazi leo hii, hivi yupo kwenye mpango wa kwenda kwao kuhudhuria msiba.
Pole mkuu, Mungu akupe uvumilivu.​