Hapo lazima ujiulize mara mbili, halafu wote vifo vya ghafla. Seki alikua anafanya Tanzanite one, ana mke na watoto hatareeee
Jamani ni ninii hivi lo inasikitishaa aiseee sipati picha maumivu aliyonayo Lulu pamoja na mkewe halaf nasikia amekufa akiwa na mchepuko
sasa, kama ana mke na watoto, itakuwaje kwenye mirathi ya icho kijacho? hivi wanawake kwanini huwa mnavamia waume za watu?ona sasa.
R.i.p sekioni tutakukumbuka kwa mengi so sad
Jamani ni ninii hivi lo inasikitishaa aiseee sipati picha maumivu aliyonayo Lulu pamoja na mkewe halaf nasikia amekufa akiwa na mchepuko
mba.....
Haaa ume generalise sio wote wanafanya hivyo... hiyo mimba kweli ipo au ilikua mbwembwee
Mbwembwe zote za hard work pays kumbe kuna the billionaire anafadhili...
Hebu leta info zake ndugu yangu maana wewe nakuaminia kwenye sekta hiyo ya habari za kaskazini hasa hao wauza madini.
sasa, kama ana mke na watoto, itakuwaje kwenye mirathi ya icho kijacho? hivi wanawake kwanini huwa mnavamia waume za watu?ona sasa.
Haaa ume generalise sio wote wanafanya hivyo... hiyo mimba kweli ipo au ilikua mbwembwee
Mbwembwe zote za hard work pays kumbe kuna the billionaire anafadhili...
Masikini kaka wa watu! Kumbe huyu ndiye aliyekua anampa jeuri eeh?
Haya sasa.
Alikua amekalia meza y kioo hom kwake mbezi beach ghafla meza ikavunjika kioo kikamkata mshipa mkubwa kwenye paja na kingine kikamchoma tumboni blinding ilikua n kasi hosp wakashindwa okoa maisha yake.ni kifo cha ghafla sana
Ndugu yangu naona unajaribu kuzuia mafuriko kwa mkono... sa hivi hiyo ndio imebaki habari ya midomoni kwa watu...
Mke atalia na mengi kwa wakati huu
Alikiba alipata bahati nasibu ee
Ndugu yangu naona unajaribu kuzuia mafuriko kwa mkono... sa hivi hiyo ndio imebaki habari ya midomoni kwa watu...
Mke atalia na mengi kwa wakati huu