Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Alikua kwake si kwa mchepuko.hpo anaishi n mkewe n watoto ndio hom kwake

Dah! Wanaume hawa wanatutia aibu kama nini.Sipati picha mkewe anaumia vipi kwa hizi habari anazosikia.
Basi tu bwana ndio maisha yake aliyojichagulia.
 
Una uhakika na ulichopost?...una muhukumu lulu ww kama nan?...lulu ni binadamu kama sisi unategemea atakua katika hali gan wote tukimuandama?..ni vyema kuacha ushabiki usio na maana
Hajahukumiwa, hapa sio mahakamani acha uzushi wewe!
 
Mi natamani kujua uhusiano uliopo.. kukosa nywele na wapenzi kufariki

Ni hivi yani toka uzaliwe huoti nywele sehemu hizo za siri.Unajua wazee wetu waliposema lisemwalo lipo kama halipo laja hawakukosea ila siku hizi hatufuati ya mababu.Binafsi namuamini YESU kuwa anaweza kila kitu
 
Jamani nakumbuka jana kulikuwa na uzi MMU ukizungumzia kukosa nywele sehemu za siri.Nikasema kuwa ni KIPARA watu wakasema ni uongo sasa jamani na huyu mrembo L ni KIPARA ndio maana wanaume wanakufa.

Cc: gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Mmeshajiandaa kumzika na huyo jamaa yako..

Walishaachana tokea 2012.Angekua wa kufa tungeshamzika.
Kwani unataka kusema Lulu amewahi kudate na hawa watatu waliokufa?List ni ndefu basi tu bahati zao mbaya!
 
kuna watu jana walisema eti ukiwa na mpenzi ambaye haoti zile nywele za chini a.k.a mavu.zi ni hatari sana...wenza wako watakuwa wanakufa...itabidi haka katoto tukachunguze vizuri...

Tena vifo vya ghafla ghafla tu, kanumba ghafla, komba ghafla na huye tena ghafla.
 
Dah! Wanaume hawa wanatutia aibu kama nini.Sipati picha mkewe anaumia vipi kwa hizi habari anazosikia.
Basi tu bwana ndio maisha yake aliyojichagulia.

yaani baada ya kulia msiba ulokupata unaanza kulia kwa hasira na wivu wa kusalitiwa kwa msiba kama huu kwa huyo mama
 
Na bado kuna njemba nyingine itajiweka hivi punde!

Ndio maana Biblia inatushauri kuikimbia zinaaa

cc Mentor
 
Last edited by a moderator:
Walishaachana tokea 2012.Angekua wa kufa tungeshamzika.
Kwani unataka kusema Lulu amewahi kudate na hawa watatu waliokufa?List ni ndefu basi tu bahati zao mbaya!

Mbona hata huyu Seki walishakachana siku nyingi tu... hahaha muulize nduguyo kama anazo muwahi kwenye matambiko
 
Back
Top Bottom