mmh sijui hawamuwazii mkewe duh
best niko ndoani i know hardship zote bas tu yaani
maombi ndo kila kitu
Kweli Kabisa maana unawaza kulea watoto pamoja ndoa nyingi ndo zinashambuliwa ila kwa maombi every things are possible.
Hahahaaa cariha mwanaume ataishi kwa jasho lake ukipata msaidizi shukuru tu mana kila cku upigwe wewe tu mechi c mpapa utaota sugu.cnc nakuoa style n mlio huohuo kma landrover mbovu,mwenzio wanamilio midogo kma vits mara bebi am coming bebi fuc...k harder mara pull my hair wakti amevaa wigi.acha mtoane roho 2 maisha yenyewe mafupi hya acha tule raha
Papuchi ni kitu laini sana hawezi ota sugu ingekuwa hivyo za madada poa zingekuwa vyuma vya reli kama sio zege lililotiwa kokoto na cement nalikauka kweli kweli
Inabidi hizi tittle tuzizoee tu maana mleta uzi ameileta kwa kuwa jamaa alikuwa anakula Lulu sidhani kama angekuwa ana mrembo wake huku kitaa kama heading ingekuwa hivyoasante kwa taarifa ya msiba lkn nasikitika kwamba ( title ) ya habari hii imekaa kinafki kwani ingetosha tu kutuambia tukio la umauti wake, jina lake, labda na wasifu wake au kazi yake, lkn c kutuambai aliyekuwa mpenzi au hawara wa ----- tena kwenye title ya taarifa.
huko ni kumdhalilisha marehemu
Wewe ndio umeangalia kiini cha tatizoKinachonisikitisha,huyo mama yake lulu analishwa na lulu ambae ni mdogo, kwa hiyo na hao mabwana zake yeye anaona sawa tu, malezi gani hayo.yule mama hana uzee wa yeye kutojishuhulisha
Jamani ni ninii hivi lo inasikitishaa aiseee sipati picha maumivu aliyonayo Lulu pamoja na mkewe halaf nasikia amekufa akiwa na mchepuko
Jamani haifai kumdharirisha marehem namna hii....kumzushia marehem sabab ya kifo bila uhakika sio uungwana, kama huna uhakika na habar kaa kimyaa
Jamani haifai kumdharirisha marehem namna hii....kumzushia marehem sabab ya kifo bila uhakika sio uungwana, kama huna uhakika na habar kaa kimyaa
kajidhalilisha mwenyewe kwa umalaya wake
Hufunzwa na mikasa ya duniashort ane clear...!!
i like it...!!!
asiefunzwa na *****...!!
Me nmekumiss tu.
Ni kweli kafia kwa mchepuko??? We ni msafi kias gan kumhukumu mwenzio to that extent??
Hamna ana ye mhukumu ukweli lazima usemwe ulitaka watu wa msifie?[/QUOTE
Ni kweli kafia kwa mchepuko??? Ndo ilivotokea kweli?? Habar iko waz chanzo cha kifo chake kwa mujib wa familia yake...sasa huo ukweli mwingne umetokea wapi?
Hii ishu imeandikwa hat kwene kitabu cha tobit kwene vitabu vya deuterakanoni. Kuna mwanamke alikuwa ana jini lilikuwa linaua kila mwanaume anaetaka kumuoa.tobiti alisaidiwa na malaika rafael na kuweza kulifukiza ilo jini na kumuoa huyo mwanamke