Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia


Magazeti y udaku ni uwongo mwingi sana istoshe data zao za kusikia c kuona.wolper,aunt n lulu washkaji zake ndio mmoja alikua n uwoya mwingne kma c kajala n madam.cz kuna wakati walikuja arusha kufanya show uchwara wema,aunt,kajala hapo wa2 waligawana fasta mechi mtu analipa cash
 
Jini kabula si ana moto yule?aisee basi huyu jamaa alikuwa kicheche,pole kwa mkewe maana aliona rangi zote.Huyu jamaa alikuwa limbukeni kweli,ndo maa a kafa kifo cha ajabu.Halafu siku ya birthday ya mchepuko wake,inawezekana alipanga suprise ya haja,Mungu kaamua kustopisha,na ni fundisho kuwa pesa si chochote,mpende mkeo
 
Utasikia "mkewangu anamishono mitatu tumboni ya uzazi yaani tumbo lake limeharibika halina hata shepu"niko naye kwasababu ya watoto tu ndio "maneno hawa wanaume wakiwa na michepuko yao.

Unadhani mchepuko akisikia hivi atafanya nini kama sio kukudharau mke wa halali?sidhani kama SEKY angefurahi hii posti ya Husna kama angepata nafasi ya kurudi duniani,asingekubali fedheha hii anayoipata akiwa amekwishatangulia kwa mwenyewe
 

i like u nkoooi...!!
 

Kifo chake kinasikitisha sana huyu baba!
 

Huyu mwaka jana aliweka kambi ar ila hakuwahi kua nae nlikua namwona mount meru wkend anakaba vichwa balaa
 
Mark me..... vitapotea vyote hivyo alivyochuma. Miaka mi5 toka leo hutaamini mkuu....

Wife kodi zote z nyumba zao ndio alikua anapokea yeye mana marehemu alikua kikazi ar so kuanzia hostel zke dom wife ndio alikua anapokea kodi mana hizo hostel ameweka meneja ndio anasimamia kila ki2 so mama hawezi kuyumba
 
Kawalamba haswa nasikia...kina husna wolper vuruga vuruga...

 
Wife kodi zote z nyumba zao ndio alikua anapokea yeye mana marehemu alikua kikazi ar so kuanzia hostel zke dom wife ndio alikua anapokea kodi mana hizo hostel ameweka meneja ndio anasimamia kila ki2 so mama hawezi kuyumba

kila la heri mamake na joshua
bora seky alivyotangulia
 
Nkwelae lekaga gete,inauma sana,hiki kifo na coincidence ya birthday ya lulu,kuna kitu hapa.inawezakana waligombana na mkewe baada ya mke kugunduwa kitu lulu atafanyiwa kwenye birthday.

ila MUNGU fundi sana
daah kamuumbua haswaa mchepuko siku ya bday raha sana
na yaweza kua usemayo ni kweli maana vogue ni mpunga mrefu ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…