Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Ana adabu au ana mapepo yanasumbua kichwani, huwezi andika hivyo kwa mtu hakuwa mumeo na mkewe angali yupo.
Jamani yani hapa anamchokoza mke wa marehemu tu.Ivi utoke na mme wa mtu, bado ugombane na michepuko yake alafu hapa unajifanya unachungu naye sana??
Kaah ingekua siri yake tu huyu poyoyo.