Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Ana adabu au ana mapepo yanasumbua kichwani, huwezi andika hivyo kwa mtu hakuwa mumeo na mkewe angali yupo.

Jamani yani hapa anamchokoza mke wa marehemu tu.Ivi utoke na mme wa mtu, bado ugombane na michepuko yake alafu hapa unajifanya unachungu naye sana??
Kaah ingekua siri yake tu huyu poyoyo.
 
hata angeacha mtambo wa kufyatua hela chumbani usingeondoa maumivu kwa mkewe kila anapowaza usaliti jamaa aliokuwa anamfanyia.

mwanamke hatakuwa na shida ya pesa kwa namna jamaa alivyoliwekeza ila atakuwa akiuumizwa sana na kivuli cha lili-lulu

Yalishatokea imebadi story tu huo usaliti wa lulu ndio unaonekana leo cku zote hamkusema
 
Geniveros huyu mtu kaacha nyumba z kutosha dar 15 na acc ya maana so family itaishi vizuri thou baba hayupo

ndo maana alikua kicheche jeuri ya fedha
ngoja akakutane na MUNGU wake sijui atamuambia nn kwa hayo aliyoyafanya duniani
 
mdada ana miaka 36 hana mchumba na sio kwamba vidume havimtaki bali anajiona kwa uzuri wake angestahili kuwa na bilionea na sii kuwa na mkaka wa kawaida nayejiheshima mwenye kipato halali
wengine mapepo yanawasumbua
mimi ni mcharuko kikweli ila nina mipaka ambayo zivuki hata kidogo,
najielewa kuwa lazma niwe na mwanaume wa kuwa mume wa kubembelezana na sio kupanikishwa na waume za watu.
Mme wa mtu staki mahusiano nkizidiwa tamaa ya fedha ni hit and run na sio ajiwekeze kwangu kuniharibia mume mtarajiwa
Mume mumeo tu hy iweje

hata angeacha mtambo wa kufyatua hela chumbani usingeondoa maumivu kwa mkewe kila anapowaza usaliti jamaa aliokuwa anamfanyia.

mwanamke hatakuwa na shida ya pesa kwa namna jamaa alivyoliwekeza ila atakuwa akiuumizwa sana na kivuli cha lili-lulu

yaani hawa wanaume na hv vichangudoa vyao baas tu

sijamzuia mtu wangu kuchepuka bali nsichotaka ni kuwa na nyumba ndogo

Mchepuko mwingine unamachungu.....

Ila angalau huyu ana adabu kwa mke na watoto...


Watazimiss sana fedha za bwerere na madini......
hana adabu nayeye ht kidogo
ukahaba tu
Jamani yani hapa anamchokoza mke wa marehemu tu.Ivi utoke na mme wa mtu, bado ugombane na michepuko yake alafu hapa unajifanya unachungu naye sana??
Kaah ingekua siri yake tu huyu poyoyo.
jinga hili nalo linatafuta followers
 
ndo maana alikua kicheche jeuri ya fedha
ngoja akakutane na MUNGU wake sijui atamuambia nn kwa hayo aliyoyafanya duniani
Inaonekana jamaa alimdharau sana mke wake kwa michepuko yake,haiwezekani michepuko inakuwa na nguvu namna ile,mtu anafikia hatua ya kuweka cheni na heleni za tanzanite alivyonunuliwa na mme wa mtu,ndo maana huyu seki kafa,maana angeishi kwa kweli mke wake angeumia zaidi na zaidi,yaani alikuwa hana dalili za kuacha umalaya
 
Inaonekana jamaa alimdharau sana mke wake kwa michepuko yake,haiwezekani michepuko inakuwa na nguvu namna ile,mtu anafikia hatua ya kuweka cheni na heleni za tanzanite alivyonunuliwa na mme wa mtu,ndo maana huyu seki kafa,maana angeishi kwa kweli mke wake angeumia zaidi na zaidi,yaani alikuwa hana dalili za kuacha umalaya

Kufa kila mtu atakufa cku yke ikifika seki kafa ila kuna ki2 kinaonekana kua c shwari ndgu upande w baba n wajomba.cz marehemu kalelewa n uncle wke ndio mana imebidi uncle amzike dodoma alipokulia,kuna vi2 cwezi ongea hpa dunia wote tunapita tu
 
Wanaume waache umalaya , michepuko kutwa inashinda kwa waganga kukuroga ndio matokeo yake wanakufa vifo vya kutatanisha.
 
Inaonekana jamaa alimdharau sana mke wake kwa michepuko yake,haiwezekani michepuko inakuwa na nguvu namna ile,mtu anafikia hatua ya kuweka cheni na heleni za tanzanite alivyonunuliwa na mme wa mtu,ndo maana huyu seki kafa,maana angeishi kwa kweli mke wake angeumia zaidi na zaidi,yaani alikuwa hana dalili za kuacha umalaya

yaani ht we hilo umeliona eehh
na sasa hv huyu mama atakua na amani ya nafsi na atarelax na kunenepa pia
maana mara nyingi mijanaume namna hii ikifa wake zao ndo wanakua huru kimawazo
 
yaani ht we hilo umeliona eehh
na sasa hv huyu mama atakua na amani ya nafsi na atarelax na kunenepa pia
maana mara nyingi mijanaume namna hii ikifa wake zao ndo wanakua huru kimawazo
kabisa maana hapo anatakuwa na uhakika kuwa yupo kaburini.Jamani hapana nimeona picha sijui lulu nae kaweka msiba kwake?
 
Yaani jinsi hawa makahaba wakina husna wanavyopost hizi picha na mineno yao inazidi kutia hasira sana.Sipati picha mke alivyochukia
umeona eeh,yaani inauma sana,itakuwa alimdharau sana mke wake,ndo maana wana nguvu hadi ya kiweka vidani vya tanzanite kwenye insta.Kwa kweli alizidi
 
tulikua hatumjui na lulu ndo alijiexpose sana na ma selfie
full kujiona yy ndo yy

Ndio shida y kua n vinuka mkojo ukiwa n mwanamke aged hawezi fanya upuuzi huo istoshe seki alikua m2 w kujificha sana hata lulu alikua akija ar huwezi mwona.ngoja niende viwanja vya li mbebezz nami leo nipige mapicha kwenye jiji lenu
 
Kufa kila mtu atakufa cku yke ikifika seki kafa ila kuna ki2 kinaonekana kua c shwari ndgu upande w baba n wajomba.cz marehemu kalelewa n uncle wke ndio mana imebidi uncle amzike dodoma alipokulia,kuna vi2 cwezi ongea hpa dunia wote tunapita tu
sasa hapo wajomba na kina baba mkubwa na wadogo wataanza kungalia mali,hawahusiki hata kidogo,ila mke nae angefight amzike hapo hapo kwake tegeta si wana eneo kubwa?wajomba wamepeleka msiba dodoma ili labda wafaidi rambirambi.Ila Seki ilikuwaje akakalia meza ikavunjika?mbona hizo meza huwa ni ngumu sana.wakati anakalia hiyo meza mke wake alikuwepo?
 
Alikuwa wa kujificha wapi

Hizo picha alizopigwa akiwa bar na lulu ndio alikuwa kajificha????

Huyo mwanaume alikuwa ni muhuni tu wala hakujificha.........



Ndio shida y kua n vinuka mkojo ukiwa n mwanamke aged hawezi fanya upuuzi huo istoshe seki alikua m2 w kujificha sana hata lulu alikua akija ar huwezi mwona.ngoja niende viwanja vya li mbebezz nami leo nipige mapicha kwenye jiji lenu
 
kabisa maana hapo anatakuwa na uhakika kuwa yupo kaburini.Jamani hapana nimeona picha sijui lulu nae kaweka msiba kwake?

hahaaa eti yupo kaburini


turushie mapicha hayo jamani tujionee video mwaka huu

mchepuko kuweka tanga hahaaa
eeh MUNGU eeeh
 
umeona eeh,yaani inauma sana,itakuwa alimdharau sana mke wake,ndo maana wana nguvu hadi ya kiweka vidani vya tanzanite kwenye insta.Kwa kweli alizidi

yaani wanaume hawa
wazuri pale wanataka kumwaga tu maji yao meupe ila dah wana roho za kinyama hv alikua anakosa nn kwa mkewe...
 
Ndio shida y kua n vinuka mkojo ukiwa n mwanamke aged hawezi fanya upuuzi huo istoshe seki alikua m2 w kujificha sana hata lulu alikua akija ar huwezi mwona.ngoja niende viwanja vya li mbebezz nami leo nipige mapicha kwenye jiji lenu

hahahaaaa karibu sana jijini best
ningekua sina kiapo cha baba askofu leo ningekutafuta nami nimrushe roho@Dinazarde@nifah na@Ms lincoln
 
Alizipata....ndio yakawa yanalia mbwata mbwata...

yaani wanaume hawa
wazuri pale wanataka kumwaga tu maji yao meupe ila dah wana roho za kinyama hv alikua anakosa nn kwa mkewe...

Ndio maana wanawake wa siku hizi wanataka mwanaume mwenye hela zake tayari.....

Unakaa na mtu...mnastruggle.... unajinyima...unakopa huko na huko huvai vizuri ukapendeza....

Ngoja zikubali sasa......huna rangi utaacha kuona.....
 
Back
Top Bottom