Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Huu msiba unatia simanzi sana marehemu kaumia sehemu ndogo sana ila madaktari wameshindwa fanya chochote cz hatuna vifaa vya kisasa hosp zetu,so sad amekufa huku anajiona mana ameongezewa damu mara 2 ila haikusaidia kitu

Mkuu Mako anayekula Uwoya ni yule chalii aliyetoka states majuzi au yupi??
 
Huu msiba unatia simanzi sana marehemu kaumia sehemu ndogo sana ila madaktari wameshindwa fanya chochote cz hatuna vifaa vya kisasa hosp zetu,so sad amekufa huku anajiona mana ameongezewa damu mara 2 ila haikusaidia kitu

hv mshikaji mbona kataka kuzikiwa dom sasa wakati mnyaki?
 
Cha kuhuzunisha zaidi ni wa Tanzania wengi wanampa pole mchepuko lulu kama vile marehemu alikuwa hana mke...

Yaani wanazidi kusapoti kuwa kuiba wanaume wa watu ni sawa. Wengi ambao ni vibinti hawajaonja yao wataijua ndoa...

Inaboa sana.
wadada tumekuwa ya ajabu kwelikweli
yaan mdada kuwa na boyfriend/mchumba wa kuwa mume wa baadae HATUTAKI
tumebakia kutembea na waume za watu kisa wanapesa yaan tunashindwa kuvumilia kutafuta pesa polepole na watu wa kutuoa kiheshima tumebaki kukimbilia waliokwishazitafuta pesa ambao wengi ni waume za watu
 
Kama inavyo jieleza, kwa wale watakaopata nafasi ratiba ndiyo hiyo hapo katibuni
 

Attachments

  • 1429374667765.jpg
    1429374667765.jpg
    45.7 KB · Views: 862
Acha hizo wewe.Mimi hapa naongea kama mwanamke ninayejua uchungu wa mwanaume.Ungekua mwanamke mwenzangu ukasema haya ningekushangaa sana.
Hakuna mwanamke ambaye anaweza kukubaliana na huu ushenzi wa wanaume. Mbona sisi tunavumilia na kutulia na nyie? Kwani sisi wanaume wengine hatuwaoni? Hebu muangalie mke wake alivyo mzuri jamani! Nina uhakika mkewe kama analia sasa analia kwa mengi kubwa ni hiyo aibu ya kushea mume na Lulu!
Wewe acha tu sikia kwa watu ila uchungu tulionao wanawake ni mkubwa sana.

imekuwa fashion kwa wadada, yaan kama hapa ofisini 75% hawana wachumba kisa wanaona waume za watu wenye pesa ndio wa maana. ukiwaambia mchumba wangu hata vits hana wananiona kama nimerogwa na wananishangaa namna navyowatosa waume za watu wenye pesa
 
imekuwa fashion kwa wadada, yaan kama hapa ofisini 75% hawana wachumba kisa wanaona waume za watu wenye pesa ndio wa maana. ukiwaambia mchumba wangu hata vits hana wananiona kama nimerogwa na wananishangaa namna navyowatosa waume za watu wenye pesa

Watajijua wenyewe wenye tabia hiyo.Mie acha nichekwe tu lakini sio kuiga huo upuuzi.
Karma itawatafuna tu wakishapata waume zao na wao.Je watawaacha wengine wawachune waume zao kama wao walivyokua wanafanya kwa wenzao?
 
imekuwa fashion kwa wadada, yaan kama hapa ofisini 75% hawana wachumba kisa wanaona waume za watu wenye pesa ndio wa maana. ukiwaambia mchumba wangu hata vits hana wananiona kama nimerogwa na wananishangaa namna navyowatosa waume za watu wenye pesa

ila hawa wa kuwavumilia unachuma nao mwisho wa siku wanakua kina seki wakizipata wanatafuta wakina lulu we unabaki unalia na mito Mungu atuongoze maana hali ni tete
 
Watajijua wenyewe wenye tabia hiyo.Mie acha nichekwe tu lakini sio kuiga huo upuuzi.
Karma itawatafuna tu wakishapata waume zao na wao.Je watawaacha wengine wawachune waume zao kama wao walivyokua wanafanya kwa wenzao?

mdada ana miaka 36 hana mchumba na sio kwamba vidume havimtaki bali anajiona kwa uzuri wake angestahili kuwa na bilionea na sii kuwa na mkaka wa kawaida nayejiheshima mwenye kipato halali

mimi ni mcharuko kikweli ila nina mipaka ambayo zivuki hata kidogo,
najielewa kuwa lazma niwe na mwanaume wa kuwa mume wa kubembelezana na sio kupanikishwa na waume za watu.
Mme wa mtu staki mahusiano nkizidiwa tamaa ya fedha ni hit and run na sio ajiwekeze kwangu kuniharibia mume mtarajiwa
 
Geniveros huyu mtu kaacha nyumba z kutosha dar 15 na acc ya maana so family itaishi vizuri thou baba hayupo
hata angeacha mtambo wa kufyatua hela chumbani usingeondoa maumivu kwa mkewe kila anapowaza usaliti jamaa aliokuwa anamfanyia.

mwanamke hatakuwa na shida ya pesa kwa namna jamaa alivyoliwekeza ila atakuwa akiuumizwa sana na kivuli cha lili-lulu
 
ila hawa wa kuwavumilia unachuma nao mwisho wa siku wanakua kina seki wakizipata wanatafuta wakina lulu we unabaki unalia na mito Mungu atuongoze maana hali ni tete
sijamzuia mtu wangu kuchepuka bali nsichotaka ni kuwa na nyumba ndogo
 
Mchepuko mwingine unamachungu.....

Ila angalau huyu ana adabu kwa mke na watoto...


Watazimiss sana fedha za bwerere na madini......
 

Attachments

  • 1429379021657.jpg
    1429379021657.jpg
    74.9 KB · Views: 788
  • 1429379037056.jpg
    1429379037056.jpg
    52.2 KB · Views: 810
Mchepuko mwingine unamachungu.....

Ila angalau huyu ana adabu kwa mke na watoto...


Watazimiss sana fedha za bwerere na madini......
Ana adabu au ana mapepo yanasumbua kichwani, huwezi andika hivyo kwa mtu hakuwa mumeo na mkewe angali yupo.
 
Back
Top Bottom