tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Huyu kweli alikuwa limbukeni...nasikia alianza na jini Kabula...na alikuwa anajisifia anavyowapanga bongo movie...yani HG wangu ana data zote maana ni mpenzi wa magazeti ya udaku hivyo yamemfanya amjue vizuri...hawa wataja pukutika kama ----- ndio watajua kama papuchi ni biashara or not...nasikia alikuwa anajisifu kuwa bado wema tu the rest kamaliza...
Magazeti y udaku ni uwongo mwingi sana istoshe data zao za kusikia c kuona.wolper,aunt n lulu washkaji zake ndio mmoja alikua n uwoya mwingne kma c kajala n madam.cz kuna wakati walikuja arusha kufanya show uchwara wema,aunt,kajala hapo wa2 waligawana fasta mechi mtu analipa cash