Hapo umenena' MKE NI MKE TU, MCHEPUKO UTABAKI MCHEPUKO, ahaa hata msibani hatathubutu kupeleka pua yake.hahahaaa hahaaaaaa
eeh MUNGU shuka leo maana kufuru zimezidi
na hapo ndo unapoona nguvu ya mke wa ndoa
msibani ht pua haweki
anaishia kujiliwaza home wapiiii
mke mke tu na kimada kimada tu
till death do them apart!!!
Kufa kila mtu atakufa cku yke ikifika seki kafa ila kuna ki2 kinaonekana kua c shwari ndgu upande w baba n wajomba.cz marehemu kalelewa n uncle wke ndio mana imebidi uncle amzike dodoma alipokulia,kuna vi2 cwezi ongea hpa dunia wote tunapita tu
Sina cha kufunguka. Hisia zangu tu. Huyo mkewe alikua anatafuta fursa ampoteze huyo MBWA!!
Na kaipata haswaa. Kwa historia ya Lulu, angekua kichaa asingechukua hatua kustopisha aibu anayoletewa.
Istoshe, mali imeachwa kibao na mazagazaga benki ambayo 24/7 anasema si ya kitoto!
So hakukua na haja huyo mama avumilie hilo ling'ombe. Her silence (plus 'ulokole') has paid her volumes. Lulu ataendelea kutupiwa lawama until forensic ya hiyo 'ajali' ifanyike. Eti meza ya kioo.....
I beg to differ guys...........!!
Magazeti y udaku ni uwongo mwingi sana istoshe data zao za kusikia c kuona.wolper,aunt n lulu washkaji zake ndio mmoja alikua n uwoya mwingne kma c kajala n madam.cz kuna wakati walikuja arusha kufanya show uchwara wema,aunt,kajala hapo wa2 waligawana fasta mechi mtu analipa cash
Huyu mwaka jana aliweka kambi ar ila hakuwahi kua nae nlikua namwona mount meru wkend anakaba vichwa balaa
Ratiba ya mwanzo ilipangwa kuzikwa mbeya, na kwa dar ataagwa jumamosi. Lakin ilivyobadirishwa, hata mm sikuelewa sababu ya msingi! Yote kwa yote tumuombee rafiki yetu kipenzi ampumzike kwa amani.
duh sad, labda alianza kuvuja damu mahala MRI au ct scan zingesaidia labda kujua tatizo.
Mungu amempenda zaidi, mie siwajui ila tendo la kimada kuongelewa kama ndio alikuwa mke kimenisikitisha sana. wanadi kapewa gaei jana, kama kwel natumaini litachukuliwa likauzwe pesa hizo pia wawekewe watoto wasome vizuri.
Ni kweli amemtesa na aliwasahau familia yake wakaishi kama hawana kitu, na watoto kuumizwa tu sababu ya yeyee kuwa analala nje?
ningependa kujua ni nini kimekufanya useme haikuwa ajali? ma ilipangwa? naona labda mmesha vizungumzia tukio lilikuwaje...vi points please.
Natofautiana nawe kidogo, huyo mkewe hawezi fanya hivyo. Kumbuka michepuko inafahamiana na kutambiana, na inawezekana ilijua ni nini Lu.. atafanyiwa kwenye bday yake akafanya kumkomoa yaani tukose wote,
Mhu.I wonder
anzia hapa,nasikia mke wake ni mchagaInanipa wasiwasi zaidi. Natamani kujua historia ya mkewe alikosoma, alipokulia, n.k. kuna kitu hakikai sawa. She looks n poses 'too' innocent.........
anzia hapa,nasikia mke wake ni mchaga
Kufa kila mtu atakufa cku yke ikifika seki kafa ila kuna ki2 kinaonekana kua c shwari ndgu upande w baba n wajomba.cz marehemu kalelewa n uncle wke ndio mana imebidi uncle amzike dodoma alipokulia,kuna vi2 cwezi ongea hpa dunia wote tunapita tu
Acha woga we funguka icjekua tunamsema seky kumbe limke nalo lilikua cheche
Jamaa alikua anapenda familia yke sana hayo usemayo kua aliwatesa hamna pia vidada vya twn vikijua mtamu lazma vikusafirie kwa babu fasta.yameshatokea katangulia mbele y haki
Vipi mabilionea wa arusha hawajaja kumsindikiza mwenza akina makame, seif na wenzao maana kama nawaona wadada wa mjini walivyojiandaa nao kupata wa kwao ngoja tuone