Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Kudadadeki

Halafu alitetewa sana jana huyu humu jamvini

Loh

Kumbe mpaka dau wanawekeana bana


Makongoro alimponza, walikuwa wanawapandia dau.Seki kwa misifa anataka awe juu ya makongoro so anatoa dau kubwa kubwa.
 
Hahaha umenicha hoi kweli manake, kuna bank hapa town mume alinituma nimefika bulk bank tellar anaanza eti huyu mwenye account ni kaka yako.?? Nikamuuliza unamtaka??? Akaninunia balaa.
 
Hahaha umenicha hoi kweli manake, kuna bank hapa town mume alinituma nimefika bulk bank tellar anaanza eti huyu mwenye account ni kaka yako.?? Nikamuuliza unamtaka??? Akaninunia balaa.

Wakipata hela wanakua vipofu na kujiona wajanja

Kudadadeki

Halafu alitetewa sana jana huyu humu jamvini

Loh

Kumbe mpaka dau wanawekeana bana

Kweli shekeli Ilimuua Yesu.
Yani mme wa ndoa wa mwenzio umemuiba.Ok basi tunasema ilitokea, bado unamwekea msiba?? Kweli bongo movie bongolala.

Makongoro alimponza, walikuwa wanawapandia dau.Seki kwa misifa anataka awe juu ya makongoro so anatoa dau kubwa kubwa.

Mjombake ndo anajua kilichomtokea Mara wengine mshipa wa shingo.

Presha isimpande mchezo????




Chezea showoff wewe

Bint harudii nguo huyu

mmenichekesha nyie watu lllooohhh
jamani nyie acheni tu lllooohhh
 
Last edited by a moderator:
Makongoro alimponza, walikuwa wanawapandia dau.Seki kwa misifa anataka awe juu ya makongoro so anatoa dau kubwa kubwa.
Sasa huyu mama atapumnzika,maana ana uhakika mme wake yupo kaburini,kijana ndo kwanza alikuwa na miaka 35,mpaka afikishe 60 huko walahi mke angewehuka kwa umalaya wa mmewe.
 
Mabilionea wamekwisha marafiki ndio wako dar toka juzi na wengine wanaenda leo dom
Seki alijitenga na matajiri, kwaajili ya umachknow na kujifanya yupo juu zaidi, ndiyo sababu wote waliokaribu na huu msiba ni wale wa ndiyo tajiri, hakua na ukaribu na matajiri.mabilionea wapo kibao.
 

kosa hela umjue mkeo...!!!

pata hela umjue mmeo...!!!

ataenda kujibu kwa MUNGU wake namna alivyomfanya mkewe!!
 
Sasa huyu mama atapumnzika,maana ana uhakika mme wake yupo kaburini,kijana ndo kwanza alikuwa na miaka 35,mpaka afikishe 60 huko walahi mke angewehuka kwa umalaya wa mmewe.

Kabisa Victorie
 

Duh pole, huo mchepuko unajiamini sana yaani kutuma picha za mahaba kwenye simu ya mwenye mke, sipati picha. Me kuna mchepuko uliwahi niandikia sms za kashfa, mume kuzioba akamwekea chuma shingoni. Yaani badala ya kukasirika nilipiga vigelegele. Mbona alihama mji, yupo huko jijini kwenu.
 
Sasa huyu mama atapumnzika,maana ana uhakika mme wake yupo kaburini,kijana ndo kwanza alikuwa na miaka 35,mpaka afikishe 60 huko walahi mke angewehuka kwa umalaya wa mmewe.

Sio tu kuwehuka lazima angemletea Maradhi yasiyo na tiba.
 

hahahhhaaahhaaa
yani sisy anajuta ndoa ya only for months tayari presha juu mi nimemuambia arelax au la angoje ulcers

ila mmeo mtata sana

kwani unafkri wanachepuka hawapendi wake zao...
baas tu hulka za kifisi maji!
 
Sasa huyu mama atapumnzika,maana ana uhakika mme wake yupo kaburini,kijana ndo kwanza alikuwa na miaka 35,mpaka afikishe 60 huko walahi mke angewehuka kwa umalaya wa mmewe.

kweli usemayo mama MUNGU saa ingine anatafuta namna ya kumpunguzia mateso mama wa watu

Seki alijitenga na matajiri, kwaajili ya umachknow na kujifanya yupo juu zaidi, ndiyo sababu wote waliokaribu na huu msiba ni wale wa ndiyo tajiri, hakua na ukaribu na matajiri.mabilionea wapo kibao.

daahh kumbe alikua kibri sana
huyu mtu...!!
halafu MUNGU fundi jamani!!
na hela zote na ujeuri amekufa kifo cha kizembeerrr sana yani ukiambiwa huamini!
 

Umeonea wapi hiyo?
 
Mbona hajaumia shingo??? Mwee mjomba anajua siri ya kifo cha marehemu. Amekalia stuli ya kioo, kilivyopasuka kikarukia shingoni au?? Lakini hajaumia shingo.

Embu naomba tueleze kama umeona mwili au wewe mwana familia...au unafanya kazi hospitalini alipoletwa?
 
hahahhhaaahhaaa
yani sisy anajuta ndoa ya only for months tayari presha juu mi nimemuambia arelax au la angoje ulcers

ila mmeo mtata sana

kwani unafkri wanachepuka hawapendi wake zao...
baas tu hulka za kifisi maji!

Duh!!!!
 

Hadi raha kuwa na mume anayekuheshimu.

Michepuko mingi wanaenda fanya madawa wakidhani yote yatanasa...kumbe wengine haiwaingiii kanisa wanabakia kutimuliwaaaaa

Hata wasiotumia dawa wanajaribu kutaka kuwa mabosi...

Tuendeleeni kumuomba Mungu jamani hawa mbwa design ya Lulu wasiingilie ndoa.
 
Yani aga khan hawana utaalamu wa kutibu mshipa uliokatwa na kioo..mbona inatisha hivyo hadi nimetetemeka...daaa yani ukiangalia video za iraq watu wanapigwa risasi na wanafanyiwa kwenye ambulace matibabu ya kila aina leo hii hospitali kubwa kama aga khan isiwe na utaalamu.!!!!
 
Umeonea wapi hiyo?

Seki alikuwa mtu wa karibu sana na familia yangu lakini zarau zake na tabia chafu zilifanya tujitenge naye, siwezi tu kuweka picha ya marehemu hapa cos jeraha lake kwa kweli linatisha na kutatanisha pia familia hawatapenda, mume wangu alienda kumwona akanirushia picha.
 

Duh kwa hiyo wangetaka mwili uchunguzwe lazima mjomba angekuwa na lakujibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…