Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Imebaki historia sasa. Rada ya Lulu itakuwa inazunguka speed 360 kwa dk kutafuta who is next. Ndo kwanza ana 20yrs heheheh hakosi ----- mwingine wa kumhifadhi mjini hapa yeye na mamaake maana jua limekuwa kali gafla. Ila mama Lulu naye kiboko; hivi mdogo wake Lulu babaake nani🙊? Alafu ana raha maana starehe za mwanaye ndo kula kulala na vaa yake. Hana shida ya kuwaza atasomeshea nini mtoto wala atamvishaje. Yaani Lulu ni bonge la asset yake hana masihara. Ila iko siku watapata aibu mnoooo kama hawatawekana kitako na kukanyana. Mama amkanye Lulu kutumia uzuri wake kuishi especially kulala na waume za watu for a living na Lulu amkanye mamaake kwa kumgeuza kitega uchumi chake. Kwa ujumla waache kuishi maisha ya maigizo waishi maisha halisia ya mtanzania wa kima cha kati.
 
huyu mtoto ni kahaba kama ambavyo makahaba wengine wa bongo movies walivyo! yaani utashangaa wengi wao wameachika au kuzaa bila mume, au kuwa vimada! shame on u ladies wa bongo movies, mnapenda sana kitonga! na mama lulu ndio kabisa sina cha kumwambia, siku yake inakuja atalia na kusaga meno!

Mke mweeee mekumithi!
Huyo mama lulu ni kahaba nae kwisha kazi!
Huyo lulu ameanza kumnywesha pombe toka akiwa na miaka 7,akiingia baa akikaa anasema kazaa mtoto mzuri!!enzi hizo Tabata kimanga!!
 
Mke mweeee mekumithi!
Huyo mama lulu ni kahaba nae kwisha kazi!
Huyo lulu ameanza kumnywesha pombe toka akiwa na miaka 7,akiingia baa akikaa anasema kazaa mtoto mzuri!!enzi hizo Tabata kimanga!!

kwani mama yake anapiga mishe gani na mim nikawazoe
 

Attachments

  • 1429681757342.jpg
    1429681757342.jpg
    44 KB · Views: 1,029
Mke mweeee mekumithi!
Huyo mama lulu ni kahaba nae kwisha kazi!
Huyo lulu ameanza kumnywesha pombe toka akiwa na miaka 7,akiingia baa akikaa anasema kazaa mtoto mzuri!!enzi hizo Tabata kimanga!!

Kuna ndugu yangu alikaa nao manzese...
Usemayo ni kweli...

Huyu mama alikuwa akishinda bar toka akiwa kijana ...
Kiasi hata baba Lulu alinyanyua mikono...
Si kwamba alimkataa ...
Ila tabia zake hazikuwa za kuwa mke wa mtu...


Nashangaa anashindwa kujifunza tokana na makosa na anamlea mwanae kwa mfumo ule ule...
Uzuri unakwisha..kwani yeye ukiambiwa alikuwa mzuri utakubali????

Lulu anaweza kuwa more decent kuliko alivyokuwa mama yake enzi zake kwa jinsi wanaomjua wanavyosimulia...
 
Kuna ndugu yangu alikaa nao manzese...
Usemayo ni kweli...

Huyu mama alikuwa akishinda bar toka akiwa kijana ...
Kiasi hata baba Lulu alinyanyua mikono...
Si kwamba alimkataa ...
Ila tabia zake hazikuwa za kuwa mke wa mtu...


Nashangaa anashindwa kujifunza tokana na makosa na anamlea mwanae kwa mfumo ule ule...
Uzuri unakwisha..kwani yeye ukiambiwa alikuwa mzuri utakubali????

Lulu anaweza kuwa more decent kuliko alivyokuwa mama yake enzi zake kwa jinsi wanaomjua wanavyosimulia...

Too bad. Iko siku Lulu atamlaumu mama yake. Hakuwahi kuwa mtoto. Wazazi mjifunze lakini kwa hili. Alafu ina maana baba Lulu alikuwa boyfriend wa mama Lulu au mume kabisa ndo akanyoosha mikono?
 
Back
Top Bottom