tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Lulu alikuweko msibani
Ckumwona pia kulikua n ulinzi sana no picha wala nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lulu alikuweko msibani
Ckumwona pia kulikua n ulinzi sana no picha wala nini
Duh hawakutaka zengwe nyingine sijui we hiyo uliupataje.
wife wake nae vipi maana simpatii picha
Ndio dawa y wajinga mtu instead y kuomboleza kazi kupiga picha 2 n kutafuta umbea walinzi walikua wengi no kupiga picha mpka kuzikwa no picha ni camera man tu ndio kapewa ruhusa
Nawa pongeza kwa Hilo mana wabongo badala ya kuhuzunika ni kupiga pcha za kusambaza na umbea juu.
Lulu alikuweko msibani
Haaaaa ungeenda uniachie mie nikusaidie umachinga.. Dodoma ndio kwao?
Mie niko swalama
Ndio dawa nimeipenda hiyo style wamedhibiti mpka makaburini dodoma
Ndio dawa y wajinga mtu instead y kuomboleza kazi kupiga picha 2 n kutafuta umbea walinzi walikua wengi no kupiga picha mpka kuzikwa no picha ni camera man tu ndio kapewa ruhusa
Ndio dawa y wajinga mtu instead y kuomboleza kazi kupiga picha 2 n kutafuta umbea walinzi walikua wengi no kupiga picha mpka kuzikwa no picha ni camera man tu ndio kapewa ruhusa
Yaani alienda msibani nyumbani kwake? Na mke akaruhusu?
Mie wow
Nakuunga mkono,wanaume mafuska na WAFE tu.
huo ufusika anaufanya na nani
AHahahah yapi tena binamu ake
anauza papuche huyu bint so hawa si wapenzi wake ni wateja wake
Siku yake haikufika, kaifikisha Lulu. Ndio michezo yake hiyo.
Dah Seki jamani,alikuwa mchangamfu sana ,kumbe alikuja kuingia kwa wa bongo movie?RIP seki tulidiscuss sana metalic minerals,sitamsahau ucheshi wake,kama amekuwa bilionea na kuwekeza basi kijana nimemsifu kwa kweli.
Ama kweli dunia ni mapito Seky umeniuma sana naomba mwenyezi mungu akupumzishe kwa amani jamani kwa sasa niko nchini Ghana kiasi fulani sikupata mda wa kupitia baadhi ya habari kutokana na ubize wa kazi,nilipata hizi habari kwa shituko sana maana huyu ndugu alikua mcheshi sana tu yaani unavyomuona kwenye picha hiyo ndo ilikua tabasamu ya utambulisho wake.
Namkumbuka marehemu pale UDSM kitovu cha FOE akiwa ansoma Mining Engineering 2003-2007 kipindi hicho haijawa COET ucheshi , vituko na mengine mengi yalimfanya marehemu kua ng'aavu sana chuoni.
Nakumbuka mwaka 2006 tulipangiwa wote kwenda Field Buhemba Gold Mine wanafunzi wote wa mwaka wa tatu tukaishi nyumba moja tukiwa tunaangalia finaly za kombe la dunia tim aliyokua akishabikia ni Italy, ilipochukua ubingwa alifurahi sana.
Jamani naona watu wanachanganya mambo kidogo hapo,Seky tumemaliza nae UDSM mwaka 2007 akapata ajira huko Arusha Tanzanite basi tokea pale nikawa nasikia tu habari zake,mara kafunga bonge la harusi kua sehemu husika palilindima nk.
Habari ya kifo chake imenisikitisha sana nabaki na maswali kadhaa na chanzo cha kifo chake,
Mara alikua amekalia hivyo vi coffee table kimevunjika na kumkata
Alikua uchi ama kwenye taulo
Mtoto wake mdogo alikua kambeba mara kamuweka kwenye sofa
Alikua na ugomvi na kasukumwa kaangukia kimeza na vipande kumchoma kwenye shingo,mara tumboni,mara pajani ni wapi alipochomwa
Naona kama chanzo cha habari kinatatanisha ama kuna nini kimefichwa,