Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

sasa lulu si wanasema mjamzito, masikini ashakuwa mjane kwa mara ya pili, gundu hilo. atajibebaje sana na nyumba aliyompangia si ndio atafukuzwa?

Mara ya pili? Umemsahau na mzee wa msituni? Anahitaji kupewa faraja huyu mtoto na haya majanga
 
kama wewe ni mpenzi wa lulu lazima ufe tu kwa maana hamna namna mana tumechoka sasa...rip seky
 

mbele ya pesa... baadhi ya wadada wako tayari kufanywa vyovyote..

Apumzike anapostahili tu
 
Mbn atachizika....
Icho kizygot kitaporomoshwa fasta km damu ya mwezini...Hahahahaaaaa. ...hapana chezea watoto wa mujin.
Akishakuw kapi km wema aka tasa aanze kulialia nakutafta makanisa ya ..........mbashalize.....

acha kuandika kama umechomekwa ndizi matakoni
 
Una uhakika na ulichopost?...una muhukumu lulu ww kama nan?...lulu ni binadamu kama sisi unategemea atakua katika hali gan wote tukimuandama?..ni vyema kuacha ushabiki usio na maana

Kwani kamhukumu au kasema fact? Hukumu ni tofauti na ukweli.
 
hahaha okoa maisha ya nduguyo..

Jifanye kama umepanic hivi alafu nenda straight to his face..

Mwambie mpwa chonde chonde kama hukuyakuta tufanye turudi kijijini kwa bibi kabla hali haijawa mbaya..

Hahahaaa! Ujue hadi natamani nimtafute lakini aibu ndugu yangu!

Naanzaje? Eti "shemeji wewe si umewahi kutoka na lulu? Vipi kule.... kuna nywele?"
Uwiiii,siwezi kabisa.
 
Du hapo hakijafika hata 30s hadi kifike 40s si itakuwa list ya kusafirishwa kwa mabehewa kadhaa ya trein

Nafikiri hii imenifanya nicheke sana siku ya leo, na ingekua ni gari ingefika kipindi mileage haisomi tena. Inadisplay ERROR
 
kuna watu jana walisema eti ukiwa na mpenzi ambaye haoti zile nywele za chini a.k.a mavu.zi ni hatari sana...wenza wako watakuwa wanakufa...itabidi haka katoto tukachunguze vizuri...
jamani hivi kuna ambao huwa hayaoti? lakini itakuwa wapo maana kuna wanaume hawana ndevu.
 
Huyo binti afikirie kufunga ''speed governor" kwenye mbunye..! Na hao wanaotoka nae wana moyo aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…